habari wadau naomba kujua trend ya soko la hisa kwa mkombozi bank kwa sasa!
Pia naomba ushauri kwasababu kunamtu anataka kuniuzia hisa zake kwa maelezo kuwa amepata matatizo ,
Nasita kununua naomba ushaurii,
Kwa mambo yalivyo sasa inabidi uwe na roho ngumu kununua hizo hisa ila kama umejidhihirisha na upo tayari na vilevile upo vizuri katika "risk taking" nakutakia kila lakheri
Kama unawekeza long term investment sawa,ila sio kwa kutegemea faida,faida yaweza kuja mbeleni ila kwa sasa banking sector imeyumba muulize Dr Kimei atakwambia.
Hali ya chumi kiujumla ni mbaya sio kwenye mabenki tu. Fungua external currency account kwenye mabenki kama standard chartered na backlays utaweza kunufaika baadae na pesa yako
Hali ya chumi kiujumla ni mbaya sio kwenye mabenki tu. Fungua external currency account kwenye mabenki kama standard chartered na backlays utaweza kunufaika baadae na pesa yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.