Eyoo naghani,ni mtazamo wa fani,ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni.Asante Profesa Jay, Majani na Ulamaa
Mmegusa nnapo’pataka
Name kwenye mtazamo’ na jambo nataka’ kuweka
Maana kila kukicha ma-emcees wanaongezeka
Nasema very nice!
Yes! Rap kama dhehebu
Wingi wa wasanii’ inaonesha ni dini swafi
Yaani imekubalika’ waumini tuko wengi’
Lakini bado na shaka’ sijapata uhakika
Wote tumesadiki?
Au wengine ni feki’ mmetumwa kama mamluki
huu mstari huo unanikera,maana napenda sana katuni za Kiroboto, Babu na hata DojoEyoo naghani,ni mtazamo wa fani,ile dhana ni uhuni wameleta hawa katuni.
"Kubana pua" hapa umezingua/Mc Illmatic, naona unabana pua/
Mistari haina mantik, ongeomba kwanza dua/
Mistari yako erotic, au mapenzi yanakusumbua/
Au badili topic, kwenye michano ntakuzingua/
Hili ni bom la atomic, usinitibue ntakulipua/
Dah 🖐🖐🤣🤣 ntarudi"Kubana pua" hapa umezingua/
Najua unajua "illmatic" chuma cha pua/
Zako habari twazijua/
Hii ni view ya mwewe/
Na nnayemuona ni wewe/
Unachat sana na kina " To yeye"
Wana wanahisi labda ni "To wewe".
😂😂 anytime.Dah 🖐🖐🤣🤣 ntarudi
😂😂 kwamba huwezi chana mkuu.Naanzaje mzee
Nick_mbishi - Nay wa mitego.Kafa Manzese mazishi Sinza
Nazama chumvini Uvinza
Na utamu umezidi mpaka umepiliza
Bado nachanga naganga mwanga nifiche giza
Nichane anga kwa pipa so balozi nipe viza
We kilaza nitakukaza, shika adabu mtoto wa maza/
Huna vina vya kunipoteza, labda sauti tamu kama Moza/
Kubana pua ndo unaweza, ungekuwa dem ningekukojoza/
Nyie wote nawabeza,big bro nawameza/
This time ntawafunza,muwe na heshima kwa mafaza/
kwamba huwezi chana mkuu.
Nani atokwe na mjonzi?/Moderator naomba bato na Scars /
Nataka kumpa dozi/
Cyper za kinyamwezi/
Peke yake haniwezi/
Kibitozi au kidwanzi/
Aje nimpe cozi,newz,hizi/
au niseme basi jukwaa zima hamniwezi/
yupi anayebisha nimpe dozi kama mwizi/
akili za kitopolo,mi za Simba level hizi/
hapa Sakho hapa Chama utatoka na majonzi/
Nikki mbishi-kill your self ft Godzilla&Cliff mitindoNick_mbishi - Nay wa mitego.
The Game - Dream...They say, Sleep is the Cousin of Death so my eyes Wide Open.....
umeua..Moderator naomba bato na Scars /
Nataka kumpa dozi/
Cyper za kinyamwezi/
Peke yake haniwezi/
Kibitozi au kidwanzi/
Aje nimpe cozi,newz,hizi/
au niseme basi jukwaa zima hamniwezi/
yupi anayebisha nimpe dozi kama mwizi/
akili za kitopolo,mi za Simba level hizi/
hapa Sakho hapa Chama utatoka na majonzi/