Hiphop verses challenge

Mr Bundi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
327
Reaction score
423
Habari wakuu;
Hii thread kwa wale wapenda Hip Hop,unachotakiwa kufanya unashusha verse yako kalii na unayoikubali kutoka ktk nyimbo yoyte iwe ya bongo au mbele alaf mwingine aje aseme hiyo verse ni ya msanii gani na nyimbo inaitwaje,ila verse isizidi mistari minne.
Naanza na verse yangu nnayoikubali;

Kolombwea,maisha ya kuungaunga hii shughuli mi naiweza

Hapa utaambulia ushauri ukihitaji msaada wa kifedha
 
Ni hayo tuu fid ft. Prof J x Langa
 
Unanibamba sana kwa jinsi ulivyo stable,
Unathamani zaidi ya mpira mweusi wa pooltable
 
Take some BIG and some Pac,
And you mix them up in a pot,
Sprinkle a lil "BIG L" on top,
What the f*u*c*k do you got?
You got the realest and illest killers
Tied up in a knot.......
 
Take some BIG and some Pac,
And you mix them up in a pot,
Sprinkle a lil "BIG L" on top,
What the f*u*c*k do you got?
You got the realest and illest killers
Tied up in a knot.......
Dj Vickers _work now
 
Eti nimwombe collabo Casper nigger why?
Hivi unazani Casper ni easy ka pinda bway?
 
Haiwezi kuelezwa kwa sayansi, mathe labda histori
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…