Yaani watu wanaojitokeza wazi tena haaharani na kudai kua KATIBA sio kipaumbele kwao mtasema wanawapenda watanzania wanyonge?
Tuliulize kama hawataki kabisa kusikia katiba mpya wanataka nini? Wanahofia nini? Ni vipi watu wa aina hii kuwapenda wanyonge?
Tumudanganywa tukadanganyika,tutaendelea kudanganywa huku wao wakiendelea kutimiza matakwa yao.