Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Ngoja hawa vijana wa kizazi cha vidonge na sindao waamke
Kwa hapo pembeni kidogo kutakuwa na limwalimu la hisabati lipo na kiboko...
Nakumbuka enzi tunasoma waalimu wa hisabati ndio walikuwa wanasifika kutandika bakora...
Ndio walionifanya nikachukia hesabu Mkuu, sijui waliambiwa wakitupiga ndio tutazielewa?
Wanafunzi wengi hawakuwa wakipenda somo la hisabati...
Hivyo kiboko kilitumika kama mwalimu msaidizi...
Hata leo hii naamini si wanafunzi wengi wapendao somo hili hata kama bakora hazihusiki...
Siku hizi wanaitwa watoto wa bao la mkono!