Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,045
- 12,537
waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba!Tatizo la mwandishi mimi nimelifahamu kwa asiyeelewa atahamaki ila hongera mkuu wewe umejitahidi sana.
waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba!Tatizo la mwandishi mimi nimelifahamu kwa asiyeelewa atahamaki ila hongera mkuu wewe umejitahidi sana.
Atakuwa huyo huyo Jose ndiye kaandika maana sijui ni lugha gani hii.Yaan mi mwenyewe nimeshindwa kuelewa lugha aliyotumia.Nilijua ni Typing Error lkn duuh mwanzo wa habar mpk mwisho.Aisee...Embu tumwache kwanza asome alichoandika.Hakishindwa tutamrudisha grade One akajifunze Kusoma na kuandika si kwa UANDISH huu.
[QUOTE=" nani kwanini kaburi lili chibwa?? Wala hakuna mtu ajuae nini kilicho mpeleka mwenzetu
Nizaidi yakuungua yani naweza kusema ali iva nihatari ina tisha, ali lazwa hospitali kwamiaka miwili napaka nina ondoka bado nilimuacha hospitali sina uhakika kama bado yupo hospitali au ali fariki kwani kupona kwake kulikua kukihitaji miujiza.