Nina mpnz wangu nampenda sana na yeye anadai ananipenda.lakn chakushangaza mimi tu ndo namuita mpenzi . lakini yeye hapendelei sana kuniita mpenz.ananiita jina langu tu.neno MPENZI kwake ni kama ndoto kabisa.imepita kama miezi miwili toka nimpate lakn kadri siku zinavyozidi kwenda sioni kama neno MPENZI litakuja tamukika kinywan mwake .lakn nikimuuliza kwanini huniiti mpenzi anasema haina haja but ipo siku ataniita tu nisiwe nawasiwasi .lakini mimi wasiwasi wangu je huyu mchumba ananipenda au anazuga tu?kama kweli ananipenda kwanin hataki kuniita mpenz?naomba wana jf mnipe chochote anachokifikiria huyu mchuchu kichwani mwake maana namfikiria sana lakini sipati jibu kabisa