Hili Tatizo la Eliya kati ya Ye Yesu na Yohana nani alisema ukweli?

Hili Tatizo la Eliya kati ya Ye Yesu na Yohana nani alisema ukweli?

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
13,555
Reaction score
40,749
Wanafunzi wakamuuliza Yesu, "Kwa nini basi waandishi husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?"
Yesu akajibu, "Kweli Eliya atakuja na kurejesha yote; lakini nawaambia kwamba Eliya amekwisha kuja, nao hawakumtambua, bali walimtendea walivyotaka.

Vivyo hivyo Mwana wa Adamu atateswa nao." Ndipo wanafunzi walielewa kwamba alikuwa akizungumza juu ya Yohana Mbatizaji. (Mathayo 17:10-13)

Lakini Injili ya nne (Yohana) inasema:

Hii ndiyo ushuhuda wa Yohana alipoulizwa na Wayahudi makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu, "Wewe ni nani?" Akakiri, wala hakukana, akasema waziwazi, "Mimi si Masiha." Wakamwuliza, "Basi ni nani? Je, wewe ni Eliya?" Akasema, "Sivyo." "Je, wewe ni nabii yule?" Akajibu, "La." (Yohana 1:19-21)

Sasa swali linaibuka:
Ni nani alikuwa na makosa, Yesu au Yohana?
Satirical Yet Awesome G.Man Comada wa moshi njooni mtufafanulie mkanganyiko hu kati ya Mungu na Yohana.
 
Wenyewe wanasema u some neno ukiwa na roho mtakatifu utaelewa
Si wenyewe wana roho mtakatifu waje watujulisahe sie tusaio kua na roho mtakatifu tu jifunze huenda tukapata roho mtakatifu............

hivi kwanini wenzetu hujificha kwenye kichaka cha roho mtakatifu kwa maswali yanao hitaji simple logic, kwao kila mtu ana roho mtakatifu kujua biblia.
 
Wanafunzi wakamuuliza Yesu, "Kwa nini basi waandishi husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?"
Yesu akajibu, "Kweli Eliya atakuja na kurejesha yote; lakini nawaambia kwamba Eliya amekwisha kuja, nao hawakumtambua, bali walimtendea walivyotaka.

Vivyo hivyo Mwana wa Adamu atateswa nao." Ndipo wanafunzi walielewa kwamba alikuwa akizungumza juu ya Yohana Mbatizaji. (Mathayo 17:10-13)

Lakini Injili ya nne (Yohana) inasema:

Hii ndiyo ushuhuda wa Yohana alipoulizwa na Wayahudi makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu, "Wewe ni nani?" Akakiri, wala hakukana, akasema waziwazi, "Mimi si Masiha." Wakamwuliza, "Basi ni nani? Je, wewe ni Eliya?" Akasema, "Sivyo." "Je, wewe ni nabii yule?" Akajibu, "La." (Yohana 1:19-21)

Sasa swali linaibuka:
Ni nani alikuwa na makosa, Yesu au Yohana?
Satirical Yet Awesome G.Man Comada wa moshi njooni mtufafanulie mkanganyiko hu kati ya Mungu na Yohana.
Yohana mwenyewe hakujua kama ndiye mwenye roho ya Eliya
 
Wanafunzi wakamuuliza Yesu, "Kwa nini basi waandishi husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?"
Yesu akajibu, "Kweli Eliya atakuja na kurejesha yote; lakini nawaambia kwamba Eliya amekwisha kuja, nao hawakumtambua, bali walimtendea walivyotaka.

Vivyo hivyo Mwana wa Adamu atateswa nao." Ndipo wanafunzi walielewa kwamba alikuwa akizungumza juu ya Yohana Mbatizaji. (Mathayo 17:10-13)

Lakini Injili ya nne (Yohana) inasema:

Hii ndiyo ushuhuda wa Yohana alipoulizwa na Wayahudi makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu, "Wewe ni nani?" Akakiri, wala hakukana, akasema waziwazi, "Mimi si Masiha." Wakamwuliza, "Basi ni nani? Je, wewe ni Eliya?" Akasema, "Sivyo." "Je, wewe ni nabii yule?" Akajibu, "La." (Yohana 1:19-21)

Sasa swali linaibuka:
Ni nani alikuwa na makosa, Yesu au Yohana?
Satirical Yet Awesome G.Man Comada wa moshi njooni mtufafanulie mkanganyiko hu kati ya Mungu na Yohana.
Haya mambo yasikuumize sana kichwa, wakati fulani ni kama ile statement ya "Rais yuko ofisini anachapa kazi tena anawasalimu sana"
 
Hakuna mgongano. Yohana alikana kuwa Eliya kwa mwonekano wa kimwili, kama watu walivyotarajia arudi kutoka mbinguni. Lakini Yesu alifundisha ukweli kwamba Yohana alikuwa Eliya katika ile roho, utume, na kazi ya kurekebisha njia ya Bwana. Hivyo wote walikuwa sahihi, kila mmoja kwa muktadha wake.
 
Hakuna mgongano. Yohana alikana kuwa Eliya kwa mwonekano wa kimwili, kama watu walivyotarajia arudi kutoka mbinguni. Lakini Yesu alifundisha ukweli kwamba Yohana alikuwa Eliya katika ile roho, utume, na kazi ya kurekebisha njia ya Bwana. Hivyo wote walikuwa sahihi, kila mmoja kwa muktadha wake.
Mkuu acha masihara jibu kwa kutumia logic, kwani swali lilihoji muonekano wake wa mwili? Au majukumu ya kiroho usilazimishe jibu mkuu, hapo unakigangu kaulize wakuu wako wa kigango ndo uje na jibu sahihi.
 
Mkuu acha masihara jibu kwa kutumia logic, kwani swali lilihoji muonekano wake wa mwili? Au majukumu ya kiroho usilazomishe jibu mkuu, hapo unakigangu kaulize wakuu wako wa kigango ndo uje na jibu sahihi.
Upo kwa sababu ya kubishana? au unataka ulicho kizungumza kionekane hakijibiki?

Unge reply kwa kuhoji kwa logic pia, ningekuona una akili sana, lakini ulivyo huelewi hata ulicho uliza unaishia kutoa kejeli tu za kijinga.
 
Upo kwa sababu ya kubishana? au unataka ulicho kizungumza kionekane hakijibiki?

Unge reply kwa kuhoji kwa logic pia, ningekuona una akili sana, lakini ulivyo huelewi hata ulicho uliza unaishia kutoa kejeli tu za kijinga.
Mkuu acha jaziba tuende taratibu, unataka kumaaniasha Yohana hakuelewa swali alio ulizwa na wa Yahudi? Lakini wewe ndo ulielewa hilo swali. Yohana hakua na roho mtakatifu kumuelewesha swali mapema?
 
Mkuu acha jaziba tuende taratibu, unataka kumaaniasha Yohana hakuelewa swali alio ulizwa na wa Yahudi? Lakini wewe ndo ulielewa hilo swali. Yohana hakua na roho mtakatifu kumuelewesha swali mapema?
Yohana hakuwa mjinga wala asiye na Roho Mtakatifu, alijua walichomaanisha, lakini alikana matarajio yao ya Eliya kurudi kimwili. Alijua nafasi yake ni kutengeneza njia, si kujitukuza kwa majina ya kinabii.

Huelewi wapi? mbona jibu ni rahisi sana.
 
Si wenyewe wana roho mtakatifu waje watujulisahe sie tusaio kua na roho mtakatifu tu jifunze huenda tukapata roho mtakatifu............

hivi kwanini wenzetu hujificha kwenye kichaka cha roho mtakayifu kwa maswali yanao hitaji simple logic, kwao kila mtu ana roho mtakatifu kujua biblia.
Sijajua hoja yako ni ipi bro? Nieleze nitakufafanulia.
 
Kobazi mbona umeng'ang'ana sana mambo ya biblia umegundua Qu'ran yenu ni bangi za mudi
Mkuu acha kutusi watu mimi niko academic zaidi, kama una majibu leta kuliko kutukuna Dini zingine umeona alio tukana imani ya mwenzake, acha hiyo tabia sio ya kiistaarabu.
 
Wanafunzi wakamuuliza Yesu, "Kwa nini basi waandishi husema kwamba ni lazima Eliya aje kwanza?"
Yesu akajibu, "Kweli Eliya atakuja na kurejesha yote; lakini nawaambia kwamba Eliya amekwisha kuja, nao hawakumtambua, bali walimtendea walivyotaka.

Vivyo hivyo Mwana wa Adamu atateswa nao." Ndipo wanafunzi walielewa kwamba alikuwa akizungumza juu ya Yohana Mbatizaji. (Mathayo 17:10-13)

Lakini Injili ya nne (Yohana) inasema:

Hii ndiyo ushuhuda wa Yohana alipoulizwa na Wayahudi makuhani na Walawi kutoka Yerusalemu, "Wewe ni nani?" Akakiri, wala hakukana, akasema waziwazi, "Mimi si Masiha." Wakamwuliza, "Basi ni nani? Je, wewe ni Eliya?" Akasema, "Sivyo." "Je, wewe ni nabii yule?" Akajibu, "La." (Yohana 1:19-21)

Sasa swali linaibuka:
Ni nani alikuwa na makosa, Yesu au Yohana?
Satirical Yet Awesome G.Man Comada wa moshi njooni mtufafanulie mkanganyiko hu kati ya Mungu na Yohana.
Mambo hayo kutuuliza sisi unatukosea hatukuwepo enzi zao hao watu.
 
Back
Top Bottom