Kwa mpalangeHaya sasaaaa..... hizi ndio mada za kupumzisha akili..
Sio kila saa mada za kutiana njaa tuuu.
Mkuu huku buzza wapo ma Dealers
Misifa tu. Kwani hiyo gari ina doctorate. Haya bhana, ipeleke UDSM kwa maprofesa waitengeneze. JF imejipambanua kama nyumba ya watu wanafikiriNina kagari ambako naomba nifahamishwe kama kuna dealers wake hapa TZ. Ni Jeep ya mwaka 2019 nataka kuifanyia service.
Sasa waswas wangu isije ikaguswa guswa na hawa mafundi ambao hawajasomea.binafsi napenda nipate fundi mkuu mwenye doctorate ya mechanics au au hata masters then wasaidizi ndo wawe na degree.
Haya magari ya ulaya na marekani hayataki kabisa ubabaifu.nami sitaki kuonekana naringa.maana kuna siku nlimwambia fundi mmoja kituo cha mafuta aongeze upepo alisumbuka sana dk 40 kujaza tu upepo.nlipomaliza nikamlipa 25,000 yake nikaondoka.
Toka siku hiyo nikasema nitakuwa naenda kwa dealers tu hata kujaza upepo. Sasa kwa hapa TZ dealers wa JEEP wanapatikana wapi ndugu zanguni? Au ndo nipark tu gari?
Bado unachukulia serious ulichokisoma hapo? Aisee utateseka sana mkuuMisifa tu. Kwani hiyo gari ina doctorate. Haya bhana, ipeleke UDSM kwa maprofesa waitengeneze. JF imejipambanua kama nyumba ya watu wanafikiri
Naku ignore mkuu
Acha kupayuka kama hujanywa chaiMisifa tu. Kwani hiyo gari ina doctorate. Haya bhana, ipeleke UDSM kwa maprofesa waitengeneze. JF imejipambanua kama nyumba ya watu wanafikiri
hahahaha Kujaza upepo 25000/ ? baada ya kuangalia ili nibid niisom avatar , nikkutana na jina la blionea mkuuNina kagari ambako naomba nifahamishwe kama kuna dealers wake hapa TZ. Ni Jeep ya mwaka 2019 nataka kuifanyia service.
Sasa waswas wangu isije ikaguswa guswa na hawa mafundi ambao hawajasomea.binafsi napenda nipate fundi mkuu mwenye doctorate ya mechanics au au hata masters then wasaidizi ndo wawe na degree.
Haya magari ya ulaya na marekani hayataki kabisa ubabaifu.nami sitaki kuonekana naringa.maana kuna siku nlimwambia fundi mmoja kituo cha mafuta aongeze upepo alisumbuka sana dk 40 kujaza tu upepo.nlipomaliza nikamlipa 25,000 yake nikaondoka.
Toka siku hiyo nikasema nitakuwa naenda kwa dealers tu hata kujaza upepo. Sasa kwa hapa TZ dealers wa JEEP wanapatikana wapi ndugu zanguni? Au ndo nipark tu gari?
Mkuu naomba kazi ya kusafisha side mirror...asa utanilipa sh ngapi
hahahaha Kujaza upepo 25000/ ? baada ya kuangalia ili nibid niisom avatar , nikkutana na jina la blionea mkuu
Mkuu mwenyewe sijawahi fika kbc nipitie hapa twende tukatembe huko tupajue na sisi.Hv mkuu Buza huwa ni sehemu Coco sana...!!?
itabidi siku nifanye tour huko...
na Kiembe mbuzi sijui hata ni wp nasikia tu
Ukiwa serious unaweza kufa siku sio zakoBado unachukulia serious ulichokisoma hapo? Aisee utateseka sana mkuu
Na wewe mbona unapanick?Misifa tu. Kwani hiyo gari ina doctorate. Haya bhana, ipeleke UDSM kwa maprofesa waitengeneze. JF imejipambanua kama nyumba ya watu wanafikiri ila kuna watu wana mada za kijinga kama hawajawahi kukaa madarasani
Hatimaye karudi tena...Nina kagari ambako naomba nifahamishwe kama kuna dealers wake hapa TZ. Ni Jeep ya mwaka 2019 nataka kuifanyia service.
Sasa waswas wangu isije ikaguswa guswa na hawa mafundi ambao hawajasomea.binafsi napenda nipate fundi mkuu mwenye doctorate ya mechanics au au hata masters then wasaidizi ndo wawe na degree.
Haya magari ya ulaya na marekani hayataki kabisa ubabaifu.nami sitaki kuonekana naringa.maana kuna siku nlimwambia fundi mmoja kituo cha mafuta aongeze upepo alisumbuka sana dk 40 kujaza tu upepo.nlipomaliza nikamlipa 25,000 yake nikaondoka.
Toka siku hiyo nikasema nitakuwa naenda kwa dealers tu hata kujaza upepo. Sasa kwa hapa TZ dealers wa JEEP wanapatikana wapi ndugu zanguni? Au ndo nipark tu gari?