kibonge90
Member
- Sep 6, 2015
- 53
- 39
Jamani naomba msaada kwa anayeweza kutambua hili tatizo,naona kucha yangu inabadilika kila kukicha
Na nikishika maji ndo kabisa inauma sana
Naomba msaada nifanyaje au nitumie dawa gani na Hilo ni tatizo gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nikishika maji ndo kabisa inauma sana
Naomba msaada nifanyaje au nitumie dawa gani na Hilo ni tatizo gani
Sent using Jamii Forums mobile app