Mara nyingi nimekuwa nikihangaika na dish langu kuzitafuta chanel za Tbc na star tv lakini sizipati.wajua mi npo interior sana,km wamebadili frequency naomba anayefaham anitumie thnks
Kama hizo chanel zimepotea kwenye dishi lako wala usizitafute kwa kuwa hazina mpango. Pia kama hofu yako ni kuangalia LIVE bunge la katiba,kuna tetesi kuwa ch.zote za bongo zitaonyesha bunge hilo LIVE bila chenga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.