Hili lina ukweli kuhusu nguvu za kiume?

Hili lina ukweli kuhusu nguvu za kiume?

Kauponde

Member
Joined
Sep 2, 2018
Posts
18
Reaction score
16
Naomba kuelewesha hapa jamani, ni kweli kuchelewa kumwaga na kuwahi kumwaga yote ni matatizo ya nguvu za kiume? Na wanawake mnaonaje kipi bora kuwahi au kuchelewa?

Wataalam njoeni
 
Dah mzee vip na maswali ya fb

Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
 
Mkuu mwanamke huwa haridhiki we kama umefika inatosha tu fresh

GunFire
 
Mkuu fanya kwanza kujipendelea wewe kwenye maisha na ndio wafuate wengine, hao wengine watajikuta wanaridhika tuu


It is never to late to begin. Start now
 
WALIONIPENDA WOTE NI KWA SABABU MECHI DK TISINI, HAKUNA KUTOKA MPIRA NJE HATA MARA MOJA NI PASS TU
 
Tunaojielewa tulishaachaga mambo ya kumridhisha mwanamke...mi nakojoa nasepa atajijua
 
Nguvu ya kiume mm kwangu naichukulia tofauti kidogo.

Uume ukisimama imara na mishipa yake na ukafika mshindo juu ya dk kati ya 8-10 mim kwangu sio kuwahi kufika hata kama mwanamke kachelewa kufika (maana nao wako tofaut, wengine wanawah na wengine wamachelewa kama alivyo confirm yna2.)

Na nikiwa na mood ya kurudia mara ya pili na ya tatu na uume ukawa uko vile vile pamoja na ashki basi, hata kama nitawah au ntachelew pia inategemea na Mood niliyonayo na sio kwamba sina nguvu.

Kwa mimi wanaomwaga mapema na chin ya dk 3 na wakashindwa kuendelea ndio hasaa wenye matatizo ya nguzu ya kiume.
 
Naomba kuelewesha hapa jamani, ni kweli kuchelewa kumwaga na kuwahi kumwaga yote ni matatzo ya nguvu za kiume? Na wanawake mnaonaje kipi bora kuwahi au kuchelewa??! Wataalam njoeni

Sent using Jamii Forums mobile app

Uhangaike kutongoza, udhalilishwe, uzungushwe..
Uingie garama za outing, nauli, vocha na vizawadi..
Ulipe loji..
Ununue vyakula na vinywaji..
Bado na kitandani tena uanze kuhangaika kuchelewa kumwaga....!!!

Wanaume nani alituloga?
 
Nguvu ya kiume mm kwangu naichukulia tofauti kidogo.

Uume ukisimama imara na mishipa yake na ukafika mshindo juu ya dk kati ya 8-10 mim kwangu sio kuwahi kufika hata kama mwanamke kachelewa kufika (maana nao wako tofaut, wengine wanawah na wengine wamachelewa kama alivyo confirm yna2.)

Na nikiwa na mood ya kurudia mara ya pili na ya tatu na uume ukawa uko vile vile pamoja na ashki basi, hata kama nitawah au ntachelew pia inategemea na Mood niliyonayo na sio kwamba sina nguvu.

Kwa mimi wanaomwaga mapema na chin ya dk 3 na wakashindwa kuendelea ndio hasaa wenye matatizo ya nguzu ya kiume.

Mwanaume mwenye tatizo la nguvu za kiume ni yule asiesimamisha tu. Kama dudu linasimama huyo hana tatizo, hilo la kumwaga mapema au kutokumwaga ni jinsi mtu alivyoichuni akili yake.
 
Nikiwa kwenye mood ya kusex napenda achelewe..kinyume chake ndiyo ivyo

We sema inategemea huyo mwanaume ana hela kiasi gani. Kuwahi kufika ni tatizo endapo tu mwanaume huyo hana hela! Ndio maana duniani hakuna mwanamke anaeachana na mwanaume mwenye hela eti kwa sababu anawahi kumaliza..
 
We sema inategemea huyo mwanaume ana hela kiasi gani. Kuwahi kufika ni tatizo endapo tu mwanaume huyo hana hela! Ndio maana duniani hakuna mwanamke anaeachana na mwanaume mwenye hela eti kwa sababu anawahi kumaliza..
Exactly
 
Back
Top Bottom