Una kasoro kubwa tu katika line yako ya argument.
Tanzania ni sovereign state, hakuna sheria za UNESCO wala UN ambazo ziko superimposed kwenye katiba yetu ya nchi, ati tuifuate!
Jurisdication ya dola ya Tanzania ipo ndani ya nchi hii na hakuna chombo au nchi yoyote yenye uwezo kutushitaki popote duniani.
Kwa hiyo nakushangaa ati majasusi ya UNESCO ndio waje ku enforce sheria zao hapa nchini, uongo mtupu unaonyesha kutokuwa na uelewa wa sheria.
Inaelekea mtoa mada hujui tofauti kati ya sheria, makubaliano na maazimio.
Kila nchi ina rasilmali zake za kuzitumia ili kuendeleza watu wake.
Hata hivyo naungana nawe kumpongeza JPM kwa kuchukua maamuzi magumu.
Mi' sijaambulia kitu!Mada nzuri sana na imeandikwa kwa ufundi na usanifu wa hali ya juu.
Je Stiegler's Gorge Hydro Electric Power plant itajengwa iwe jua iwe mvua?
Tunawasema sana hawa europeanHaya mashirika yote ya umoja wa mataifa yapo hapo kwa kazi maalum kuzirudisha nyuma mataifa yanayoendelea na kufanya ujasusi kupitia misaada ya kibinadam
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio inaitwa useless hypothetical thinking.Hebu tangazeni nia ya kuanza kuunda silaha kali halafu ndio utajua kama hii nchi ni yenu peke yenu au kuna "Mabeberu"wenye uwezo wa kuwapanda hata kinyume na maumbile wakitaka! Eti sovereign country!! Ingekuwa na uhuru wa hivyo mwenyekiti wa ccm si anngeshaagiza wana chadema wote wakatwe vichwa? Juu yenu kuna Mungu na Mzungu!! Better know that!
Afrika tuna tatizo kubwa sana la ubinafsi na kutafuta madaraka.Hata kama nia ya kujenga IPO kibano cha mabeberu hatukiwez. Huo mradi utakufa kabla ya kuanza. Halafu hivi MW 2100 ni kitu gani it is just peanuts kwa mahitaji ya Umeme kwa miaka 10 ijayo. Tusiwe na mawzo ya kitoto kushinda hoja isiyo na mantiki yoyote kwa kitu chenye kuonekana Leo ni kingi lakini in future Hanna kitu pale .Pale ni kushinda kesi ya mbuzi kwa kuendesha kesi umeuza ng'ombe .ni upungufu Wa fikra . tutafakari kwa mapana tusiwe myopic kifikra.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye utawala huu wa ccm usitegemee lolote la maana zaidi ya mauwaji tuMimi siungi mkono ujenzi wa hili bwawa. Watanzania hatuna shida ya vyanzo vya umeme mpaka tukafikia kuharibu uoto wa asili. Lazima tukubali kutokukubaliana. Tuna vyanzo vingapi vya maji vya umeme? Kwanini havikizi haja? Kihansi, Bwawa la Mungu, Kidato, Hale yote hayo tumeshindwa kupata mahitaji au kuna uzembe Tanesco? Haya tuna vyanzo vingapi vya makaa ya mawe? Kiwira Stamiko ambako umeme unazalishwa mpaka leo, Liganga huko, je vyanzo vyote hivyo kuna haja ya kukimbilia rufiji? Jamani nakumbuka mwaka 2012 serikali ilisema mwisho wa matatizo ya umeme umefika. Tutatumia umeme wa gesi kutoka mtwara, mpaka wananchi wakapigwa na kufa kama sikosei. Umeme huo uko wapi, hapana hakuna haja ya kujitenga na dunia, Tanzania peke yetu hatuwezi. Tukisema eti kila kilicho Tanzania ni chetu, tujiulize kabla ya kuwekwa mipaka ya Tanzania vilikuwa vya nani? Ifike kipindi lazima tukubalia kuwa hata wananchi tuna nguvu kwa umoja wetu kuishauri serikali, kuhusu mustakabali wa nchi yetu. Sio tuwaachie watu 100 ndio waamue kw a ajili yetu wakati huwezo huo hawana. Heri ya nusu Shari, kuliko Shari kamili. Na kila mzua janga hulia na wa kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkandarasi yeyote anachokitaka ni due diligence ya malipo, full stop.Ndugu kwakukusaidia tu battle ya kijasusi haina kinga za kimahakama bali utajikuta unakwama tu, hujiulizi kwanini mradi mmoja tunashuhudia wakandarasi zaidi ya wanne na kwa taarifa yako tutaendelea kushuhudia tu....
We mpumvavu, vyanzo vingine vitapelekea nchi kuwa na gharama kubwa za umeme huelewi? Kuzalisha umeme wa gesi n sh 114 wakati kiasi hichohicho kwa umeme wa maji ni sh 3. Utachagua lipi? Ni taahira kama wewe tu utachagua kuzalisha umemw wa makaa ya mawe kwa sh karibu 1000 wakati wa bei ya chini upo. Hivi ni vita vya kiuchumi na si suala la mazingira kama unavyoamini wewe bwege mtozeni. Kama jambo hulijui kaa kimya.Mimi siungi mkono ujenzi wa hili bwawa. Watanzania hatuna shida ya vyanzo vya umeme mpaka tukafikia kuharibu uoto wa asili. Lazima tukubali kutokukubaliana. Tuna vyanzo vingapi vya maji vya umeme? Kwanini havikizi haja? Kihansi, Bwawa la Mungu, Kidato, Hale yote hayo tumeshindwa kupata mahitaji au kuna uzembe Tanesco? Haya tuna vyanzo vingapi vya makaa ya mawe? Kiwira Stamiko ambako umeme unazalishwa mpaka leo, Liganga huko, je vyanzo vyote hivyo kuna haja ya kukimbilia rufiji? Jamani nakumbuka mwaka 2012 serikali ilisema mwisho wa matatizo ya umeme umefika. Tutatumia umeme wa gesi kutoka mtwara, mpaka wananchi wakapigwa na kufa kama sikosei. Umeme huo uko wapi, hapana hakuna haja ya kujitenga na dunia, Tanzania peke yetu hatuwezi. Tukisema eti kila kilicho Tanzania ni chetu, tujiulize kabla ya kuwekwa mipaka ya Tanzania vilikuwa vya nani? Ifike kipindi lazima tukubalia kuwa hata wananchi tuna nguvu kwa umoja wetu kuishauri serikali, kuhusu mustakabali wa nchi yetu. Sio tuwaachie watu 100 ndio waamue kw a ajili yetu wakati huwezo huo hawana. Heri ya nusu Shari, kuliko Shari kamili. Na kila mzua janga hulia na wa kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeshikwa pabaya mnatapatapa na Tobo Lisu wenu.Tatizo wanatumia vibaya vote 20, hapo tu ndipo wananichafua kupita maelezo
Mimi siungi mkono ujenzi wa hili bwawa. Watanzania hatuna shida ya vyanzo vya umeme mpaka tukafikia kuharibu uoto wa asili. Lazima tukubali kutokukubaliana. Tuna vyanzo vingapi vya maji vya umeme? Kwanini havikizi haja? Kihansi, Bwawa la Mungu, Kidato, Hale yote hayo tumeshindwa kupata mahitaji au kuna uzembe Tanesco? Haya tuna vyanzo vingapi vya makaa ya mawe? Kiwira Stamiko ambako umeme unazalishwa mpaka leo, Liganga huko, je vyanzo vyote hivyo kuna haja ya kukimbilia rufiji? Jamani nakumbuka mwaka 2012 serikali ilisema mwisho wa matatizo ya umeme umefika. Tutatumia umeme wa gesi kutoka mtwara, mpaka wananchi wakapigwa na kufa kama sikosei. Umeme huo uko wapi, hapana hakuna haja ya kujitenga na dunia, Tanzania peke yetu hatuwezi. Tukisema eti kila kilicho Tanzania ni chetu, tujiulize kabla ya kuwekwa mipaka ya Tanzania vilikuwa vya nani? Ifike kipindi lazima tukubalia kuwa hata wananchi tuna nguvu kwa umoja wetu kuishauri serikali, kuhusu mustakabali wa nchi yetu. Sio tuwaachie watu 100 ndio waamue kw a ajili yetu wakati huwezo huo hawana. Heri ya nusu Shari, kuliko Shari kamili. Na kila mzua janga hulia na wa kwao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shule gani umesoma mkuu?? Umeme utokee msumbiji? Unajua vyanzo vya umeme wa nsumbiji? Embu google alafu uone ulichokiandika.Afrika tuna tatizo kubwa sana la ubinafsi na kutafuta madaraka.
Ni wazi kuwa miaka 100 ijayo Afrika itakua ni sehemu yenye hali mbaya sana ya uharibifu wa Mazingira mana mambo mengi tunayafanya kwa kuwaza madaraka na siasa tu lakini sio uhai na vizazi vijavyo.
Nimekua nikijaribu kuuliza wataalam wa miamba waliopo humu waje watueleze kuwa balance ya nature kwenye miamba itakuaje endapo patatokea Bwawa lenye ukubwa wa Jiji la DSM? Je, jiji la DSM halitakua kwenye hatari ya kukumbwa na Tetemeko la ardhi kutokana na mgandamizo wa uzito wa Matrilion ya ujazo wa Lita za maji kwenye Bwawa hilo?
Mpaka sasa sijapata mtaalama wa kunijibu kisayansi zaidi ya siasa kuwa ije,mvua au jua Bwawa ni lazima lijengwe!
Ndio litajengwa lakini mazingira yatakuaje kwa miaka ijayo?
Je, miaka 50 ijayo mvua zitakua za uhakika ukizingatia tunakimbilia kwenye viwanda ambavyo kiuhalisia vimepitwa na wakati na wenzetu wanatushawishi ili wapate pa kuvitupa?
Gharama ya kurudisha mazingira yaliyoharibika ni kubwa sana. Mtano ni mashimo yanayotokana na migodi; hayawezi kurejeshwa kama mwanzo ,matokeo yake ni kutokea kwa matetemeko makubwa yasiyowahi kutokea mfano kule Kagera.
Japani inapatwa na matetemeko makubwa sana kutokana na kuwa na mazingira yaliyobadili asili ya nchi kutokana na maendeleo.
Sio kila ushauri wa hao majasusi wa dunia ni mbaya.
Wenzetu wanawaza sana dunia hii iendelee kuwepo kwa Marne nyingi zijazo lakini sisi tunawaza taifa la wakati wa madaraka tu . Ndio maana tunawaza ulimwengu wa kipeke yetu eti tunashindana na mataifa makubwa.
Wenzetu wanashindana kwa tafiti zilizofanywa karne zilizopita lakini sisi tuna vitafiti uchwara vya miaka mitano iliyopita wakati wa kampeni na tunavitumia kushinda uchaguzi tu.
Dunia ya sasa umeme hata ukirokea Msumbiji tunaweza kuutumia na kulinda mazingira yetu. Sio lazima kila kitu kitoke Tanzania.
Dunia ipo hapa ilipo kutokana na kutegemeana. Wakati Afrika ilibaki nyuma kutokana na kuwa na Tawala nyingi zilizokua na ubinafsi na kujitenga kimakabila na hata kikoo.
Hata ukoo mmoja kushirikiana na mwingine ilikua ni shida ndio maana tukatawaliwa kirahisi sana.
Tuliaminishwa kuwa tungeweza kuuza umeme wa gesi kwa nchi jirani lakini mpaka sasa hata ndani hatuna umeme wa gesi wa kutosha na sasa tunaingia kwenye mradi wa Tril. 7 wa umeme na bado hautatosha. Tunaambiwa utakua bei rahisi lakini hatujaambiwa kuwa unakua rahisi kwa sababu ni huduma na umegharamikiwa na serikali.
Hata ule wa Gesi na mingineyo ikigharamikiwa na serikali itakua ni bei rahisi hata bure wakitaka kama wanaona watapata kura.
Sent using Jamii Forums mobile app