Unaijua asilimia au unaadika tu mradi watu wasome . asilimia unachukua kilomita zilizokailika na reli inafanya Kazi. Sasa Morogoro hakuna treni inayoenda kipande cha SGR halafu unatamka tumekamilsha 41% .? Au kuweka mikataba Wa Ujenzi ndio lumeshajenga. ? Hapana tusidanganyane bado Kazi IPOMlisema hata SGR hataweza lakini hadi sasa kazi imeishafanyika kwa 41%
Sent using Jamii Forums mobile app