twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,793
Una kasoro kubwa tu katika line yako ya argument.
Tanzania ni sovereign state, hakuna sheria za UNESCO wala UN ambazo ziko superimposed kwenye katiba yetu ya nchi, ati tuifuate!
Jurisdication ya dola ya Tanzania ipo ndani ya nchi hii na hakuna chombo au nchi yoyote yenye uwezo kutushitaki popote duniani.
Kwa hiyo nakushangaa ati majasusi ya UNESCO ndio waje ku enforce sheria zao hapa nchini, uongo mtupu unaonyesha kutokuwa na uelewa wa sheria.
Inaelekea mtoa mada hujui tofauti kati ya sheria, makubaliano na maazimio.
Kila nchi ina rasilmali zake za kuzitumia ili kuendeleza watu wake.
Hata hivyo naungana nawe kumpongeza JPM kwa kuchukua maamuzi magumu.