Hili la stendi kuu Ubungo hadi lini?

Hili la stendi kuu Ubungo hadi lini?

vagarantTz

Member
Joined
Oct 21, 2015
Posts
46
Reaction score
10
Stendi kuu ya mabasi ubungo kuna kiingilio pale getini lakini kule ndani mazingira siyo rafiki kabisa na abiria na mvua hzi ndio balaa kabisa matope yaani ni pachafu sana sijui hizi hela huwa wanachukua kwa ajili ya nini?

Ikiwa hawawathamini hao waleta pesa ambao ni abiria, kuna vibanda humo ndani vya biashara vitu vinauzwa bei juu ukkiuliza wanasema kodi ipo juu kuna mama ntilie nao chakula bei juu tatizo ni hyo kodi, huduma ya choo ni mia mbili vyoo ni vichafu balaa, sasa hiki kiingilio cha kazi gani?
 
Stendi kuu ya mabasi ubungo kuna mambo ya ajab sana ili uingie ukasafiri lazima ulipe kiingilio pale getin lakin huko ndani haswa kipindi hiki cha mvua mvua ni pachafu sana matope..hakuna vyoo vya kutosha vilivyopo ni vichafu sana ...mara unaaeza ona chupa za maji zenye mikojo...yaan..mpk najiuliza sasa hizi hela wanazo kusanya zinafanya kazi gani....
 
Back
Top Bottom