M Mbopo JF-Expert Member Joined Jan 29, 2008 Posts 2,532 Reaction score 416 Aug 9, 2012 #21 Chakaza said: Unauhakika ni yeye aliyewagonga wale wasichana? au kwa vile yeye alikubali kuuvaa uhusika wa tukio lile? Hii ni Tanzania ndugu yangu. Click to expand... Angalau alilipa faini kwa kosa linalofanana na hilo.
Chakaza said: Unauhakika ni yeye aliyewagonga wale wasichana? au kwa vile yeye alikubali kuuvaa uhusika wa tukio lile? Hii ni Tanzania ndugu yangu. Click to expand... Angalau alilipa faini kwa kosa linalofanana na hilo.
Chakaza Platinum Member Joined Mar 10, 2007 Posts 41,009 Reaction score 74,643 Aug 9, 2012 #22 Mbopo said: Angalau alilipa faini kwa kosa linalofanana na hilo. Click to expand... Unaelewa kuwa kama katika kesi ile muhusika kamili angesimama yeye mahakamani ingekuwa kesi ya kuua kwa kukusudia?
Mbopo said: Angalau alilipa faini kwa kosa linalofanana na hilo. Click to expand... Unaelewa kuwa kama katika kesi ile muhusika kamili angesimama yeye mahakamani ingekuwa kesi ya kuua kwa kukusudia?