affinitytz
JF-Expert Member
- Feb 10, 2020
- 234
- 1,043
Miaka kadhaa nyuma, nilikutana na binti pale Euro H survey sijui panaitwaje siku hizi.
Nikamuelewe binti, nikaomba namba akakataa.
Siku mbili baadaye nikiwa nakula chakula cha usiku binti akaja tena. Kwa ajabu akaja akaa kwenye meza niliyokuwa nimekaa. Tukisalimiana na alipomaliza kula akaniachia namba bila kumuomba. Miezi minne baadaye tukawa wapenzi.
Baada ya mwaka, nikiwa nimehudhuria kikao cha harusi ya familia nikashangazwa na binti naye amehudhuria. Katika utambulisho ndio nikagundua kuwa ni mtoto wa mmoja wa mama zangu wadogo upande wa mama. Mama yangu na mama yake ni watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.
Nilirudi kwangu nikiwa na huzuni sana maana tukipanga kuoana. Hii ilibaki kuwa siri yetu.
Mahusiano hayakuisha haraka, tuliendelea kubanjuana mpaka siku tulipoamua kuacha.
Ameolewa na nimeoa. Namheshimu kama dada.
Nikamuelewe binti, nikaomba namba akakataa.
Siku mbili baadaye nikiwa nakula chakula cha usiku binti akaja tena. Kwa ajabu akaja akaa kwenye meza niliyokuwa nimekaa. Tukisalimiana na alipomaliza kula akaniachia namba bila kumuomba. Miezi minne baadaye tukawa wapenzi.
Baada ya mwaka, nikiwa nimehudhuria kikao cha harusi ya familia nikashangazwa na binti naye amehudhuria. Katika utambulisho ndio nikagundua kuwa ni mtoto wa mmoja wa mama zangu wadogo upande wa mama. Mama yangu na mama yake ni watoto wa mama mdogo na mama mkubwa.
Nilirudi kwangu nikiwa na huzuni sana maana tukipanga kuoana. Hii ilibaki kuwa siri yetu.
Mahusiano hayakuisha haraka, tuliendelea kubanjuana mpaka siku tulipoamua kuacha.
Ameolewa na nimeoa. Namheshimu kama dada.
