Kwa kuangalia sifa za mtu binafsi ,uelewa wa mambo, Kashfa na mambo kadha wa kadha: Hilary Clinton anafanana sana na Edward Lowassa na Magufuli anafanana sana na Trump
Kwa kuangalia mazingira ya kiushindani,uwezekano wa kupata ushindi ,Uungwaji mkono wa watu na makundi mbalimbali,Woga vs kujiamin kuwa kuna kushinda: Hilary anafanana sana na Magufuli na Trump anafanana sana na Lowassa
Do you agree or not?? if not why??
Kwa kuangalia mazingira ya kiushindani,uwezekano wa kupata ushindi ,Uungwaji mkono wa watu na makundi mbalimbali,Woga vs kujiamin kuwa kuna kushinda: Hilary anafanana sana na Magufuli na Trump anafanana sana na Lowassa
Do you agree or not?? if not why??