Nafikiri unamaanisha vioo vya kujiona (mirrors),ni kwamba mpaka kioo kukamilika hupitia hatua mbili; hatua ya kwanza ni utengenezaji wa glass na glass ndio malighafi ya kutengenezea mirrors na hatua ya pili ni ile ya glass kufanywa mirror ntazielezea stage zote mbili; hatua ya kwanza ni utengezaji wa glass na glass hutengenezwa kwa kutumia MCHANGA(SAND)ambao una kiasi kikubwa cha silica or silicano dioxide(SiO2) viwandani mchanga huyeyushwa na kuwa ujiuji na uyeyuka at very high tempereture about 1700degree centigrade kutokana na melting point kubwa mchanga huchanganywa na sodium carbonate itakayopunguza melting point yake na ujiuji utakaopatikana utakuwa una ugumu fulani (armophorous solid) na ndio glass yenyewe hiyo hivyo hatua ya kwanza itakuwa imeisha.