Nani kawadanganya kuwa kuvua gamba ni kupona? Amakweli Ccm wamedoda hawajui sumu imeathiri mfumo wadamu na hivyo kuvua gamba sikitu. Waoneeni huruma izraeli amewakaribia ndio maana wanatapatapa. Let them die wametufanya ombaomba wa neti kwa bush
jibu la uozo huu ni kuchukua wabunge 3o wa cdm and 30 wa ccm kisha wape interview ya issue yeyote ya kijamii...utapata jibu kwanini mabango yanakuwa hivyo.