Leo nimemsikia Adamu malima naibu wazili wa giza na mashimo anasema eti agreco wameleta mitambo walio nunua kwao. Sina tatizo kuhusu hilo lakini kilicho ni shangaza ni pale alipo sema eti wamekuja na mitambo mingine ipo bandarini ya megawati 50 na ataongea na selikari kama kuna uwezekano wa kuinunua!!!!!
Maswali.
1]Je? Ninani aliye washauli agreco walete mitambo hiyo mpaka bandari. Kabla ya makubaliano yakuinunua?
2]Je? Agreco ni wa machinga kwa kumsogezea bidhaa mteja kalibia na mali alipo?
3]Kama serikali itaamua kuto inunua hiyo mitambo je gharama za usafiri zitagharamiwa na nani?
4]Kama mitambo hiyo ya megawati 50 imefika bandarini mtanizuia vipi kuamini kwamba Marima na wenzie wananufaika kifisadi kwa kuishauli serikali kununulia mitambo bandarini?
5]Je bandari ni soko la mitambo?
Kama nakosea naomba kuerimiswa kuhusu hiliswala
Hahaaahaaahaaa aisee kajamaa kana kiburi kama siyo jeuri. Halafu nasikia kameshajipatia eneo la uwekezaji katika madini ila sijui ni wapi. Tanzania nchi ya kifalme.Leo nimemsikia Adamu malima naibu wazili wa giza na mashimo anasema eti agreco wameleta mitambo walio nunua kwao. Sina tatizo kuhusu hilo lakini kilicho ni shangaza ni pale alipo sema eti wamekuja na mitambo mingine ipo bandarini ya megawati 50 na ataongea na selikari kama kuna uwezekano wa kuinunua!!!!!
Maswali.
1]Je? Ninani aliye washauli agreco walete mitambo hiyo mpaka bandari. Kabla ya makubaliano yakuinunua?
2]Je? Agreco ni wa machinga kwa kumsogezea bidhaa mteja kalibia na mali alipo?
3]Kama serikali itaamua kuto inunua hiyo mitambo je gharama za usafiri zitagharamiwa na nani?
4]Kama mitambo hiyo ya megawati 50 imefika bandarini mtanizuia vipi kuamini kwamba Marima na wenzie wananufaika kifisadi kwa kuishauli serikali kununulia mitambo bandarini?
5]Je bandari ni soko la mitambo?
Kama nakosea naomba kuerimiswa kuhusu hiliswala
Leo nimemsikia Adamu malima naibu wazili wa giza na mashimo anasema eti agreco wameleta mitambo walio nunua kwao. Sina tatizo kuhusu hilo lakini kilicho ni shangaza ni pale alipo sema eti wamekuja na mitambo mingine ipo bandarini ya megawati 50 na ataongea na selikari kama kuna uwezekano wa kuinunua!!!!!
Maswali.
1]Je? Ninani aliye washauli agreco walete mitambo hiyo mpaka bandari. Kabla ya makubaliano yakuinunua?
2]Je? Agreco ni wa machinga kwa kumsogezea bidhaa mteja kalibia na mali alipo?
3]Kama serikali itaamua kuto inunua hiyo mitambo je gharama za usafiri zitagharamiwa na nani?
4]Kama mitambo hiyo ya megawati 50 imefika bandarini mtanizuia vipi kuamini kwamba Marima na wenzie wananufaika kifisadi kwa kuishauli serikali kununulia mitambo bandarini?
5]Je bandari ni soko la mitambo?
Kama nakosea naomba kuerimiswa kuhusu hiliswala
Asante kwa jina sahihi la hii wizara!
Nishati....giza!
Madini.....Mashimo!
Perfect!
kwa kweli watanzania tumechoka na huu wizi wa mchana mchana jua kali kabisa, haiwezekani watanzania wanateseka kila iitwapo leo kwa ugumu wa maisha lakini kuna wengine kila siku wakiamka wanafikiria wafanye ufisadi gani. Watz swali la kujiuliza je tufanye nini sasa?