Hii ya Adam Malima na Tanesco ni tusi kwa watanzia.

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Leo nimemsikia Adamu malima naibu wazili wa giza na mashimo anasema eti agreco wameleta mitambo walio nunua kwao. Sina tatizo kuhusu hilo lakini kilicho ni shangaza ni pale alipo sema eti wamekuja na mitambo mingine ipo bandarini ya megawati 50 na ataongea na selikari kama kuna uwezekano wa kuinunua!!!!!
Maswali.
1]Je? Ninani aliye washauli agreco walete mitambo hiyo mpaka bandari. Kabla ya makubaliano yakuinunua?
2]Je? Agreco ni wa machinga kwa kumsogezea bidhaa mteja kalibia na mali alipo?
3]Kama serikali itaamua kuto inunua hiyo mitambo je gharama za usafiri zitagharamiwa na nani?
4]Kama mitambo hiyo ya megawati 50 imefika bandarini mtanizuia vipi kuamini kwamba Marima na wenzie wananufaika kifisadi kwa kuishauli serikali kununulia mitambo bandarini?
5]Je bandari ni soko la mitambo?
Kama nakosea naomba kuerimiswa kuhusu hiliswala
 
Mkuu wangu acha kabisa, ndo matunda ya safari yake ya South Africa tuliambiwa wakati flani alienda?
 
Wanajua tz kuna tatizo la umeme na wao wanafanya biashara. Kwani wachina wakileta bidhaa zao pale kariakoo wanamtaarifu nani? Hakuna deal wala nini ni biashara tu...eee mambo ya fursa hayo!
 
Punguza jazba kaka,hakuna wizara ya giza na mashimo apa tanzania inaezekana upo libya,hebu jikague vizuri.au ulikuwa umelala ukakurupuka toka usingizini ukafikia kwny jf?hii thread umeiandika kwa hisia,sio ukweli alousema malima kwani hata mi nimemskia..acha uzushi na chuki binafsi.
 
Punguza jazba kaka,hakuna wizara ya giza na mashimo apa tanzania inaezekana upo libya,hebu jikague vizuri.au ulikuwa umelala ukakurupuka toka usingizini ukafikia kwny jf?hii thread umeiandika kwa hisia,sio ukweli alousema malima kwani hata mi nimemskia..acha uzushi na chuki binafsi.

Kama alichokiandika ni uongo then kwa faida ya wana JF wote tunaomba utuwekee ukweli hapa.
 
Punguza jazba kaka,hakuna wizara ya giza na mashimo apa tanzania inaezekana upo libya,hebu jikague vizuri.au ulikuwa umelala ukakurupuka toka usingizini ukafikia kwny jf?hii thread umeiandika kwa hisia,sio ukweli alousema malima kwani hata mi nimemskia..acha uzushi na chuki binafsi.
watoto wa magamba mcpende kutafuniwa kila kitu lugha aliyotumia hapo kwenye ni lugha ya picha harafu kwingine yupo sahihi acha propaganda kama msemaji wa Gadafi.
 
Wanajua tz kuna tatizo la umeme na wao wanafanya biashara. Kwani wachina wakileta bidhaa zao pale kariakoo wanamtaarifu nani? Hakuna deal wala nini ni biashara tu...eee mambo ya fursa hayo!

Ni kweli Tanzania tuna tatizo la umeme, lakini kampuni haiwezi kuleta mitambo ya megawatt 50 bila kuwa na uhakika wa soko. Hizo siyo generator ambazo zinaweza kununuliwa kwa bei rahisi. Ndiyo maana hata kampuni zinavyotengeneza hiyo mitambo huwa haiwezi kuwa na stock kubwa sya mitambo hiyo wakichelea ku-tie capital ambayo haitatumika.

Swala la kujiuliza, kwanini serikali haitaki kwenda kununua hiyo mitambo huko ambako mitambo inazalishwa? Kwanini wasubiri mpaka middleman awaletee ndio wajifanye kwamba wanaishauri serikali kununua? Ukiwaambia serikali wakanunue mitambo mitambo utasikia wanakuja na hoja ya kwamba procurement procedure ni ndefu sana, inaweza kuchukua hata mwaka mzima mpaka manunuzi kukamilika, lakini mitambo ikiletwa na kampuni hakuna procurement procedure ambayo iko complicated.

Tanzania ni nchi ya kuliwa tu, wana siasa wote walishageuka kuwa wafanyabiashara ambao wanaangalia maslahi yao.
 
Punguza jazba kaka,hakuna wizara ya giza na mashimo apa tanzania inaezekana upo libya,hebu jikague vizuri.au ulikuwa umelala ukakurupuka toka usingizini ukafikia kwny jf?hii thread umeiandika kwa hisia,sio ukweli alousema malima kwani hata mi nimemskia..acha uzushi na chuki binafsi.

inaonekana unahisia za kishoga!! umekurupushwa wewe, vaa basi kivazi upate kukimbia vema.
 
aaah Tanzania bana ni shamba la bibi kweli. Watauza tu...'sisi tuna huruma,yaani mtu alete mitambo yake toka huko hadi bandarini kwetu eeh,itatusaidia sana kipindi kijacho'. Sitashangaa keshokutwa waziri akitoa maelezo kama hayo.
 
Hapa kuna dalil na harufu za wizi. Ni vizur tukatambua kwamba mitambo ya kuzalisha umeme sio sawa na bidhaa nyingine et unatengeneza then upeleke sokon tu bila kujua ni nan atanunua. Haiingii akilin et mtambo wa kuzalisha megawat 50 iletwe iletwe bila kuagizwa. Najua tanzania tuna tatizo la umeme but the problem ni kwamba kauli ya malima ina utata. Kaul yake haijitoshelez kwa great thinker kuiacha kaul hii ikining'inia hewan. Tunaomba wenye ufafanuz zaid kuhusu jambo hil wauweke hapa jamvin
 
Punguza jazba kaka,hakuna wizara ya giza na mashimo apa tanzania inaezekana upo libya,hebu jikague vizuri.au ulikuwa umelala ukakurupuka toka usingizini ukafikia kwny jf?hii thread umeiandika kwa hisia,sio ukweli alousema malima kwani hata mi nimemskia..acha uzushi na chuki binafsi.

Hiyo sio jazba ila wewe ndio una jazba, pia wewe si mtu unayefikiria vema, huyo anamaanisha kuwa hiyo ni wizara iliyoshindwa kabisa na hivyo inakwenda kinyume na inavyotakiwa kufanya. Hivyo fikiria sana kabla huja andika.
 
mimi pia nilimsikiliza huyu malima nikashangaa sana, hata mtoto mdogo anayo proper reasoning
 
Ni kweli Tanzania tuna tatizo la umeme, lakini kampuni haiwezi kuleta mitambo ya megawatt 50 bila kuwa na uhakika wa soko. Hizo siyo generator ambazo zinaweza kununuliwa kwa bei rahisi. Ndiyo maana hata kampuni zinavyotengeneza hiyo mitambo huwa haiwezi kuwa na stock kubwa sya mitambo hiyo wakichelea ku-tie capital ambayo haitatumika.

Swala la kujiuliza, kwanini serikali haitaki kwenda kununua hiyo mitambo huko ambako mitambo inazalishwa? Kwanini wasubiri mpaka middleman awaletee ndio wajifanye kwamba wanaishauri serikali kununua? Ukiwaambia serikali wakanunue mitambo mitambo utasikia wanakuja na hoja ya kwamba procurement procedure ni ndefu sana, inaweza kuchukua hata mwaka mzima mpaka manunuzi kukamilika, lakini mitambo ikiletwa na kampuni hakuna procurement procedure ambayo iko complicated.

Tanzania ni nchi ya kuliwa tu, wana siasa wote walishageuka kuwa wafanyabiashara ambao wanaangalia maslahi yao.

Hilo ni dili watu wanataka wachukue chao mapema, hii ndio Tanzania ya wajinga ndio waliwao, Asilimia kubwa ya watanzania ni wajinga haijarishi amepata au hajapata elimu
 
Punguza jazba kaka,hakuna wizara ya giza na mashimo apa tanzania inaezekana upo libya,hebu jikague vizuri.au ulikuwa umelala ukakurupuka toka usingizini ukafikia kwny jf?hii thread umeiandika kwa hisia,sio ukweli alousema malima kwani hata mi nimemskia..acha uzushi na chuki binafsi.

Masaburi hayo yanafanya kazi.
 
Watasema kuna tatizo la dharura la umeme. Tunahitaji megawatt so and so.... so ni bora tununue mitambo hii. Sarakasi zitahadikizwa na mgao wa aina yake.
 
Leo nimemsikia Adamu malima naibu wazili wa giza na mashimo anasema eti agreco wameleta mitambo walio nunua kwao. Sina tatizo kuhusu hilo lakini kilicho ni shangaza ni pale alipo sema eti wamekuja na mitambo mingine ipo bandarini ya megawati 50 na ataongea na selikari kama kuna uwezekano wa kuinunua!!!!!
Maswali.
1]Je? Ninani aliye washauli agreco walete mitambo hiyo mpaka bandari. Kabla ya makubaliano yakuinunua?
2]Je? Agreco ni wa machinga kwa kumsogezea bidhaa mteja kalibia na mali alipo?
3]Kama serikali itaamua kuto inunua hiyo mitambo je gharama za usafiri zitagharamiwa na nani?
4]Kama mitambo hiyo ya megawati 50 imefika bandarini mtanizuia vipi kuamini kwamba Marima na wenzie wananufaika kifisadi kwa kuishauli serikali kununulia mitambo bandarini?
5]Je bandari ni soko la mitambo?
Kama nakosea naomba kuerimiswa kuhusu hiliswala

Asante kwa jina sahihi la hii wizara!

Nishati....giza!
Madini.....Mashimo!

Perfect!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom