Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,433 Jul 15, 2020 #1 Sorry wanaume mnaofunga PM zenu, huwa mnasumbuliwa Sana na mademu ehhh. Au mnaficha nini huko? Mnauza gongo?
Sorry wanaume mnaofunga PM zenu, huwa mnasumbuliwa Sana na mademu ehhh. Au mnaficha nini huko? Mnauza gongo?
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,402 Reaction score 12,787 Jul 15, 2020 #2 Kuna kale kawimbo ka dada yetu Judith Wambura almaarufu wanaume kama mabinti...you never know kwamba yasemwayo yapo. Ukiona mwanaume kafunga PM yake, na ukajiridhisha bila kuacha shaka kwamba ni mwanaume basi, kuna mawili..
Kuna kale kawimbo ka dada yetu Judith Wambura almaarufu wanaume kama mabinti...you never know kwamba yasemwayo yapo. Ukiona mwanaume kafunga PM yake, na ukajiridhisha bila kuacha shaka kwamba ni mwanaume basi, kuna mawili..
Kichwamoto JF-Expert Member Joined Jan 21, 2019 Posts 3,402 Reaction score 4,705 Jul 15, 2020 #3 Mida hii au?
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 85,962 Reaction score 146,245 Jul 15, 2020 #4 Bujibuji said: Sorry wanaume mnaofunga PM zenu, huwa mnasumbuliwa Sana na mademu ehhh...... Au mnaficha nini huko ? Mnauza gongo? Click to expand... Mkuu wakifunga kuna tatizo gani? Unataka kuwatongoza nao pia?
Bujibuji said: Sorry wanaume mnaofunga PM zenu, huwa mnasumbuliwa Sana na mademu ehhh...... Au mnaficha nini huko ? Mnauza gongo? Click to expand... Mkuu wakifunga kuna tatizo gani? Unataka kuwatongoza nao pia?
Chaz Lee JF-Expert Member Joined Oct 26, 2018 Posts 588 Reaction score 495 Jul 15, 2020 #5 Wapotezee tu
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,579 Reaction score 161,433 Jul 15, 2020 Thread starter #6 Kiranga said: Mkuu wakifunga kuna tatizo gani? Unataka kuwatongoza nao pia? Click to expand... Kuna dili kule Mbezi Beach nataka niwapeleke Jumapili
Kiranga said: Mkuu wakifunga kuna tatizo gani? Unataka kuwatongoza nao pia? Click to expand... Kuna dili kule Mbezi Beach nataka niwapeleke Jumapili
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 85,962 Reaction score 146,245 Jul 15, 2020 #7 Bujibuji said: Kuna dili kule Mbezi Beach nataka niwapeleke Jumapili Click to expand... Kwani lazima?
Bujibuji said: Kuna dili kule Mbezi Beach nataka niwapeleke Jumapili Click to expand... Kwani lazima?
el nino JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 4,712 Reaction score 5,065 Jul 15, 2020 #8 Kiranga said: Kwani lazima? Click to expand... Wabongo ndio kawaida yetu kupangia watu maisha ..
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,419 Jul 15, 2020 #9 Kuna kipindi wale jamaa wasiojulikana walikuwa wanakuja kwa gia mbalimbali ikiwemo ile ya sweet pot. Hata mimi nilifunga
Kuna kipindi wale jamaa wasiojulikana walikuwa wanakuja kwa gia mbalimbali ikiwemo ile ya sweet pot. Hata mimi nilifunga
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jul 15, 2020 #10 el nino said: Wabongo ndio kawaida yetu kupangia watu maisha .. Click to expand... Hahahaha
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jul 15, 2020 #11 SHIMBA YA BUYENZE said: Kuna kipindi wale jamaa wasiojulikana walikuwa wanakuja kwa gia mbalimbali ikiwemo ile ya sweet pot. Hata mimi nilifunga Click to expand... Mimi nilifunga nimefungua, ila kipindi cha uchaguzi nafunga tena
SHIMBA YA BUYENZE said: Kuna kipindi wale jamaa wasiojulikana walikuwa wanakuja kwa gia mbalimbali ikiwemo ile ya sweet pot. Hata mimi nilifunga Click to expand... Mimi nilifunga nimefungua, ila kipindi cha uchaguzi nafunga tena
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 35,795 Reaction score 86,554 Jul 15, 2020 #12 mtu chake said: Mimi nilifunga nimefungua, ila kipindi cha uchaguzi nafunga tena Click to expand... Watalala mbele nawewe..šš
mtu chake said: Mimi nilifunga nimefungua, ila kipindi cha uchaguzi nafunga tena Click to expand... Watalala mbele nawewe..šš
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jul 15, 2020 #13 KENZY said: Watalala mbele nawewe.. Click to expand... Hahahaha, kisa na mkasa
KENZY JF-Expert Member Joined Dec 27, 2015 Posts 35,795 Reaction score 86,554 Jul 15, 2020 #14 mtu chake said: Hahahaha, kisa na mkasa Click to expand... Kisa ni mtu na mkasa ni chake š
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jul 15, 2020 #15 KENZY said: Kisa ni mtu na mkasa ni chake Click to expand... Hahahaha
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,353 Jul 15, 2020 #16 Kiranga said: Mkuu wakifunga kuna tatizo gani? Unataka kuwatongoza nao pia? Click to expand... Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnongāoneza huna.
Kiranga said: Mkuu wakifunga kuna tatizo gani? Unataka kuwatongoza nao pia? Click to expand... Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnongāoneza huna.
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 85,962 Reaction score 146,245 Jul 15, 2020 #17 Sky Eclat said: Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnongāoneza huna. Click to expand... Ndiyo ujue hataki kunong'onezwa huyo tena. Mvute shati hadharani tu.
Sky Eclat said: Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnongāoneza huna. Click to expand... Ndiyo ujue hataki kunong'onezwa huyo tena. Mvute shati hadharani tu.
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 51,622 Reaction score 74,007 Jul 15, 2020 #18 Kiranga said: Kwani lazima? Click to expand... Hahaha
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 51,622 Reaction score 74,007 Jul 15, 2020 #19 Sky Eclat said: Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnongāoneza huna. Click to expand... Kwani kila mtu anahitaji hizo connection madame !?
Sky Eclat said: Humu kuna connection za biashara sasa mtu anatoa comment ya kitu flani unakihitaji lakini jinsi ya kumnongāoneza huna. Click to expand... Kwani kila mtu anahitaji hizo connection madame !?
hearly JF-Expert Member Joined Jun 19, 2014 Posts 51,622 Reaction score 74,007 Jul 15, 2020 #20 el nino said: Wabongo ndio kawaida yetu kupangia watu maisha .. Click to expand... Hahaha aisee