Hii tunaitaje

Hii tunaita photo shop

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kuwa uyaone! C maghorofa ya k'koo! Hii kitu inapatikana sehemu za irnga hasa makambako, hii ni kwa ajili ya kuwekea pombe ya ulezi. Kule songea namtumbo wanaita "kinomba!.
 
kwetu sumbawanga kawaida sana hiyo
 
hiyo inaitwa TV isiyoonekana bana maana inayoruka hewani nyakati za usiku

ehee kumbe wewe ni mnywaji mzuri heee makubwa pretty upo saidia dogo huyo asijepepesuka ovyo
 
hapo hata picha yako inaweza kuvutwa ikaonekana!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…