sawe4u
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 973
- 571
Habari wadu , sasa ni mwaka 2 tangu kushindwa na kumuacha mzazi mwenzangu (mama wa mtoto wangu ) kutokana mienendo yake ambayo kijamii na kidini na kinadamu hakuna binadamu angeweza vumilia (japo hatukufunga ndoA)
Tangu mwez huu umeanza huwa anapenda kuja kwangu na kuniletea mtoto wangu ambako si kawaida yake pia amekuwa akilazimisha kwa nguvu turudiane lakn sina hisia nae ata .
Yeye amejikuta akitumia nguvu zote kuniachanisha mwanamke wa sasa
=Anamtumia matusio yasiokawaida akija kwangu akimkuta anamuwashia moto Japo nilishamtel kuw mimi na yeye sasa ni wazazi
Niambiane nifanye nn ili nimkomeshi tabia yake ?
Pia kanalinga kwakuw chenyew nika ka
Note:- kama kipgo nilishampa cha kutoah ila haelew ananikazinia
Tangu mwez huu umeanza huwa anapenda kuja kwangu na kuniletea mtoto wangu ambako si kawaida yake pia amekuwa akilazimisha kwa nguvu turudiane lakn sina hisia nae ata .
Yeye amejikuta akitumia nguvu zote kuniachanisha mwanamke wa sasa
=Anamtumia matusio yasiokawaida akija kwangu akimkuta anamuwashia moto Japo nilishamtel kuw mimi na yeye sasa ni wazazi
Niambiane nifanye nn ili nimkomeshi tabia yake ?
Pia kanalinga kwakuw chenyew nika ka
Note:- kama kipgo nilishampa cha kutoah ila haelew ananikazinia