Hii teknolojia sisi tutagundua nini

Hii teknolojia sisi tutagundua nini

Gwakukahja

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
1,119
Reaction score
740
Mac, Googlechrome, Microsoft surface book
 

Attachments

  • 1444418497706.jpg
    1444418497706.jpg
    15.2 KB · Views: 597
Hahaaaaa 😀 😀 haya chief-Mkwawa
 
Microsoft siku hizi anawajulia kweli fans WA apple. Ili uwakamate vizuri uza bidhaa zako bei ghali kuliko apple automatic wanazinunua. (sarcasm)
 
Ila umeicheki hiyo mashine mpya ya Microsoft? Nilikuwa nasoma specs zake.. Kiukweli, apple wajipange.
 
Ila umeicheki hiyo mashine mpya ya Microsoft? Nilikuwa nasoma specs zake.. Kiukweli, apple wajipange.

surface book? inauzwa bei ghali kushinda hizo macbook na version nzuri yennye nvidia gpu inauzwa bei ghali zaidi hadi dola 2600.
 
Dola 2600? Hapo ni unachukua deskitop ya apple I.e iMac retina display... Ha-ha.. By the way, mi naona Microsoft Ana deserve kuuza ghali hivyo. . coz laptop yenyewe mi ya ukweli... Ila kwa cc wabongo wengi wetu tusubiri matoleo ya mchina... Surface book, ni zaidi ya expectation zangu Chief_Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Dola 2600? Hapo ni unachukua deskitop ya apple I.e iMac retina display... Ha-ha.. By the way, mi naona Microsoft Ana deserve kuuza ghali hivyo. . coz laptop yenyewe mi ya ukweli... Ila kwa cc wabongo wengi wetu tusubiri matoleo ya mchina... Surface book, ni zaidi ya expectation zangu Chief_Mkwawa

yap idea ni nzuri sana hope kina asus na acer wataanza kueka gpu kwenye keyboard zao na battery ya ziada sababu processor za tablet kama core m tayari zina nguvu kubwa ni gpu tu ndio bado hazijachanganya.

kuhusu michina vifaa vya microsoft vinatengenezwa na standard maalumu hata kama kikitoka china quality inakuwa nzuri kiasi.
 
Last edited by a moderator:
yap idea ni nzuri sana hope kina asus na acer wataanza kueka gpu kwenye keyboard zao na battery ya ziada sababu processor za tablet kama core m tayari zina nguvu kubwa ni gpu tu ndio bado hazijachanganya.

kuhusu michina vifaa vya microsoft vinatengenezwa na standard maalumu hata kama kikitoka china quality inakuwa nzuri kiasi.

Nimezungumzia tusubiri mchina kwa ajili ya kumudu gharama. Si unajua tena mchina anatoa huduma kutokana na hela yako?
 
Nimezungumzia tusubiri mchina kwa ajili ya kumudu gharama. Si unajua tena mchina anatoa huduma kutokana na hela yako?

kwa windows even oem wakubwa wana wana bidhaa rahisi, kuna tablet za windows za hp na toshiba hadi dola 70, wachina wanashindwa kutamba huku sababu ya hizo standard ambazo wanatakiwa kuzifuata, processor lazima watumie intel/amd huwezi tumia mediatek, display huwezi tumia yoyote inabidi resolution iwe kubwa, processor haiwezi tumika kokote inataka motherboard zake zenye vitu ambavyo intel wanalazimisha viwepo.

though wachina wanaforce kutengeneza tab za bei rahisi lakini still hazitofautiani sana na hao kina lenovo/dell/hp/acer/dell/asus
 
Microsoft siku hizi anawajulia kweli fans WA apple. Ili uwakamate vizuri uza bidhaa zako bei ghali kuliko apple automatic wanazinunua. (sarcasm)

Wengi wanaamini kitu kikiuzwa bei ghali kinakuwa bora kuliko vingine.

Japo baadhi ya wenye uelewa siku hizi wanachagua ecosystem.
 
Microsoft ni kiboko yao hakuna apple wala nani. Juzi wametoa device zao kama lumia 950/950xl simu na 550, hololens, band 2, surface book na pro 4.
Labda kwa wajuzi watatuelezi jinsi microsoft walivyoendelea hapo.
 
Wengi wanaamini kitu kikiuzwa bei ghali kinakuwa bora kuliko vingine.

Japo baadhi ya wenye uelewa siku hizi wanachagua ecosystem.

Haha ni mazoea tu, and that's obvious u talkin bout some people that 're a somewhat.. dumb! Sorry, usinielewe vibaya. Ila ukweli ni kuwa "specs really matter" mfano iyo Microsoft Surface Book, u 've to pay more than $2,200.. but for that u get Intel i7 processor, NVIDIA GeForce Graphics card, 16gigs RAM and of coz 256gigs of SSD.. Worth it!
 
Haha ni mazoea tu, and that's obvious u talkin bout some people that 're a somewhat.. dumb! Sorry, usinielewe vibaya. Ila ukweli ni kuwa "specs really matter" mfano iyo Microsoft Surface Book, u 've to pay more than $2,200.. but for that u get Intel i7 processor, NVIDIA GeForce Graphics card, 16gigs RAM and of coz 256gigs of SSD.. Worth it!

Its all about hype.
 
Vitu vya kugunduliwa vilishaisha...

Bado havijaisha.. bado binadamu tunakufa so hatujagundua njia ya kuzuia cells zetu kuchoka with time, bado hatuna reliable technology ya kutupeleka Mars au galaxy nyingine iliyopo say 100 light years from earth na kuturudisha salama ndani ya masaa, bado hatuna technolgy za kutrap huge amounts of energy kama energy yote from a star kua sucked into something small so that we can use that energy later (am not talking of solar panels), hata energy production methods tunazotumia siku hizi nyingi zina efficiency chini ya 30%.. Vya kugunduliwa bado vingi sana.. In other words vitu vya kugunduliwa havitokuja kuisha kamwe.
 
Haha ni mazoea tu, and that's obvious u talkin bout some people that 're a somewhat.. dumb! Sorry, usinielewe vibaya. Ila ukweli ni kuwa "specs really matter" mfano iyo Microsoft Surface Book, u 've to pay more than $2,200.. but for that u get Intel i7 processor, NVIDIA GeForce Graphics card, 16gigs RAM and of coz 256gigs of SSD.. Worth it!

Laptop yenye specs hizo haifiki hata dola 1000, wanauza form factor tu hapo.

Pia ukumbuke inatumia processor za U series ambazo Ni dual core. Even hio i7 Ni dual core,

Mi naona ukitoa hio keyboard ya nvidia, surface pro Ni nzuri zaidi unapata same processor na battery life nzuri zaidi
 
Laptop yenye specs hizo haifiki hata dola 1000, wanauza form factor tu hapo.

Pia ukumbuke inatumia processor za U series ambazo Ni dual core. Even hio i7 Ni dual core,

Mi naona ukitoa hio keyboard ya nvidia, surface pro Ni nzuri zaidi unapata same processor na battery life nzuri zaidi

U do have some point, I agree.. ila dah, I don't recall a PC with all em specs afu ikauzwa less than $1000.. if u could remind me itakuwa poa
 
U do have some point, I agree.. ila dah, I don't recall a PC with all em specs afu ikauzwa less than $1000.. if u could remind me itakuwa poa

kwa ultrabook kama surfacebook isio na nvidia kuna dell xps 13 series na kama ni 2 in 1 xps 12 ipo sema inaanza dola 999 kama nayo inahesabika ni chini ya 1000.

en-INTL-L-Dell-XPS-13-9343-6364SLV-i5-256GB-Silver-Androidized-CWF-01966-mnco.jpg


kwa laptop za kawaida zipo kibao around dola 500 hadi 1000 zenye specs kubwa zaidi ya surface book kama i7 quads na nvidia gpu za gddr5 kuanzia gtx 950m

gtx 950m
gtx 950m - Newegg.com

gtx 960m
gtx 960m - Newegg.com
 
Back
Top Bottom