Hii TECNO N9 ni Vipi?

...hawa tecno wako vizuri,nokia kama haitajipanga vizuri uenda akapotea kabisa...
 

kwa 100% nakukubali mkuu
 

KUULIZA SIO UJINGA; Naomba kufahamu maana ya CLONE maana mahisi kama nimeelewa tofauti na kinachomaanishwa?
 
KUULIZA SIO UJINGA; Naomba kufahamu maana ya CLONE maana mahisi kama nimeelewa tofauti na kinachomaanishwa?

clone ni kuiga kitu kama kilivyo. kwenye simu huwa makampuni ya kichina wanaiga kampuni kubwa kama samsung na apple kwa kutengeneza simu ambazo kwa macho unaweza kudhani zimetengenezwa na samsung kumbe sio.

mfano hii ni clone ya dola 230 ya galaxy s4
 

Sawa nimekuelewa, kifupi tunaita copy
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…