Hii tabia ya wasichana kusingizia mama zao wanaumwa ili wapewe hela na wapenzi wao itaisha lini?

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,230
6,471
Halo JF.

Nimekutana na wakaka wengi maeneo tofauti wakidai kila akimpata girlfriend, basi tatizo la Mama mzazi wa binti kuugua ndilo linalowamalizia hela.

Wanadai wananaombwa kuanzia shilling 30,000 hadi laki Tano kulingana na hadhi ya mwanaume. Wanazingizia vipimo au kununua Dawa. Wanadai ktk tafiti wamegundua wakinamama hao huwa sio wagonjwa.

Ndiyo maana Mimi nauliza hii tabia wasichana mtaacha lini?
 
Akianza kukuambia mama yake mgonjwa uwahi na wewe kumwambia mimi pia mjomba wangu yupo muhimbili tangu juzi nina mshughulikia huko mpaka pesa zinaniishia kwa ajili ya matibabu na vipimo. Utakuwa umemuwekea full stop ya kukuomba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akianza kukuambia mama yake mgonjwa uwahi na wewe kumwambia mimi pia mjomba wangu yupo muhimbili tangu juzi nina mshughulikia huko mpaka pesa zinaniishia kwa ajili ya matibabu na vipimo. Utakuwa umemuwekea full stop ya kukuomba

Sent using Jamii Forums mobile app
Akituma text direct?...mfano"mambo??,,Mama yangu mgonjwa,naomba unitumie 50k nimuuguze"..utachomokaje?
 
Halo JF.

Nimekutana na wakaka wengi maeneo tofauti wakidai kila akimpata girlfriend, basi tatizo la Mama mzazi wa binti kuugua ndilo linalowamalizia hela.

Wanadai wananaombwa kuanzia shilling 30,000 hadi laki Tano kulingana na hadhi ya mwanaume. Wanazingizia vipimo au kununua Dawa. Wanadai ktk tafiti wamegundua wakinamama hao huwa sio wagonjwa.

Ndiyo maana Mimi nauliza hii tabia wasichana mtaacha lini?
Umekosea jukwaa
 
Kuna Dada mmoja huko Facebook anaitwa Neema Slaa! Sitaki kuhukumu ila naona kama uzi huu unamhusu narudia simhukumu ila dalili zote kwenye uzi huu zinamhusu
Halo JF.

Nimekutana na wakaka wengi maeneo tofauti wakidai kila akimpata girlfriend, basi tatizo la Mama mzazi wa binti kuugua ndilo linalowamalizia hela.

Wanadai wananaombwa kuanzia shilling 30,000 hadi laki Tano kulingana na hadhi ya mwanaume. Wanazingizia vipimo au kununua Dawa. Wanadai ktk tafiti wamegundua wakinamama hao huwa sio wagonjwa.

Ndiyo maana Mimi nauliza hii tabia wasichana mtaacha lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halo JF.

Nimekutana na wakaka wengi maeneo tofauti wakidai kila akimpata girlfriend, basi tatizo la Mama mzazi wa binti kuugua ndilo linalowamalizia hela.

Wanadai wananaombwa kuanzia shilling 30,000 hadi laki Tano kulingana na hadhi ya mwanaume. Wanazingizia vipimo au kununua Dawa. Wanadai ktk tafiti wamegundua wakinamama hao huwa sio wagonjwa.

Ndiyo maana Mimi nauliza hii tabia wasichana mtaacha lini?
Dawa ni kuwaambia akuoridheshee dawa zote alizo andikiwa mgonjwa na akuelekeze yupo hospital gani ili ulipe na bill
Zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom