Hello ndugu zanguni
Jamani nyie upande wa pili Kaka zetu inakuwaje kuwaje umemtongoza mwanamke ila baadae mnakula kuwa marafiki na huo mtongozo wako ukawa unahang tu ila marafiki wa karibu kiasi chake.
Swali ni inakuwaje kila asubuhi, mchana au jioni (usiku)mtu anakuuliza umekula nini As if amekupa hela ya kula
ebooh hasa nyie jinsia ya kiume. Aiseeh mnaboa kinoma
Yaani inaweza kuingia meseji unajua ya hela nini unakuta mtu anakuuliza Umekula nini unajitahidi kupotezea story nyingine bado amekomaa na ishu ya umekula nini
.
Eti jinsia Ke wenzangu hii tabia mnaionaje au nyie mnaifurahia! Hii ni kero kubwa sana kama haujamtumia hela ya msosi tafadhali usijaribu kuuliza habari hizo eboo..
Swt Manka nimekaa hapa nawasubiria wale wenye mapovu
yao