Kiwi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 1,054
- 990
Wakuu,
Nimekuwa nikifuatilia sana kampeni za uchaguzi hususan za UKAWA na nimeona hakuna mahali popote pale ambapo watu walisombwa kwa malori na mabasi kupelekwa kwenye mikutano. Hapana wasanii, wala kupewa khanga, T-shirts na pesa, na bado Rais wetu Lowassa amezoa nyomi la kufa mtu kila mahali.
Wakati huo huo nimeona ya kuwa chama cha mafuso kimeendelea bila aibu kukusanya watu kwa malori na mabasi na kuwajaza kwenye mikutano ya kampeni ili kutoa taswira ya kuwa hata ccm inao uwezo wa kupata nyomi!
Maswali yangu ni je siku ya kufunga kampeni ya ccm Jumamosi 24.10.2015, watu wataletwa na malori? Wasiporudishwa hawa watu itakuwaje? Nyomi ya siku hiyo itatengenezwa namna gani? Kama nakumbuka vizuri kampeni ya ccm itafungiwa Mwanza, wasanii ambao wamejiandikisha sehemu mbalimbali na pengine wengi wamejiandikishia Dar es Salaam watakuwepo kwenye ufungaji? Watawahi kurudi makwao na kupiga kura? Bila wasanii kutakuwa na nyomi?
Nimekuwa nikifuatilia sana kampeni za uchaguzi hususan za UKAWA na nimeona hakuna mahali popote pale ambapo watu walisombwa kwa malori na mabasi kupelekwa kwenye mikutano. Hapana wasanii, wala kupewa khanga, T-shirts na pesa, na bado Rais wetu Lowassa amezoa nyomi la kufa mtu kila mahali.
Wakati huo huo nimeona ya kuwa chama cha mafuso kimeendelea bila aibu kukusanya watu kwa malori na mabasi na kuwajaza kwenye mikutano ya kampeni ili kutoa taswira ya kuwa hata ccm inao uwezo wa kupata nyomi!
Maswali yangu ni je siku ya kufunga kampeni ya ccm Jumamosi 24.10.2015, watu wataletwa na malori? Wasiporudishwa hawa watu itakuwaje? Nyomi ya siku hiyo itatengenezwa namna gani? Kama nakumbuka vizuri kampeni ya ccm itafungiwa Mwanza, wasanii ambao wamejiandikisha sehemu mbalimbali na pengine wengi wamejiandikishia Dar es Salaam watakuwepo kwenye ufungaji? Watawahi kurudi makwao na kupiga kura? Bila wasanii kutakuwa na nyomi?