Hii slogan ya kazi na utu haitatufikisha popote

Hii slogan ya kazi na utu haitatufikisha popote

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,752
Reaction score
4,800
Hii kaulimbiu imekaa kipigaji sana.

Haitatufikisha popote kama Taifa.

Zaidi zaidi, tutarajie wachache walioko madarakani kutajirika wao pamoja na washirika wao ilhali wengi wa raia wakiishia kwenye umaskini uliotopea.

Kazi ya kuendeleza Taifa, si lelemama.

Kile anachokifanya Rais Capt. Ibrahim Traoré wa Burkina Fasso, ndo kinachopaswa kuigwa na kila Taifa la Kiafrika linalotaka kuwakomboa raia wake toka kwenye umaskini.

Vita dhidi ya umaskini haijawahi kuwa nyepesi!
 
Wakati mwingine unakaa, unatafakari, unajiuliza, unakosa majibu.
KAZI NA UTU huku watu hawana ajira za kueleweka, wana njaa, wanaumwa, wahitimu wa vyuo vikuu wanaambiwa na watawala waende VETA!
Hatuwezi kuwa serious.
Si bora wangeiweka isomeke;
TUFANYE KAZI, TUSONGE MBELE (Japo napo tungeuliza kazi zenyewe ziko wapi? Maana ma jobless ni wengi kuliko waajiriwa nchi hii).
 
Tuna viongozi wapuuzi walioshindwa kutekeleza majukumu Yao na kuleta sababu zisizo na msingi wowote.

Kuna Mass failure kidato Cha nne Kwa nini hao ndio iwe lazima kwenda VETA??

Degree zikienda VETA, Diploma VETA, Certificate VETA, form Six VETA, form four VETA na darasa la saba VETA baada ya miaka 10 tu HAKUTA KALIKA tutarudi kule kule tu.

Sera na sheria za Nchi inabidi zibadilishwe

1., toa passport Kwa vijana wote nchini

2. Weka sheria vijana wote kutoka kidato Cha nne waende VETA japo miaka 2

3. Toa mikopo nafuu Kwa makundi ya vijana 100 waliotoka VETA.

3. Punguza umri wa kustaafu kutoka 60 hadi 55.

4. Ondoka nafasi zote za uteuzi ziwe za ushindani.

5. Weka mazingira rafiki ya biashara

TATIZO SERIKALI YA CCM HAWAWEZI KUFANYA HAYO NI WAOGA NA INCOMPETENT...

Asante.
 
Hii kaulimbiu imekaa kipigaji sana.

Haitatufikisha popote kama Taifa.

Zaidi zaidi, tutarajie wachache walioko madarakani kutajirika wao pamoja na washirika wao ilhali wengi wa raia wakiishia kwenye umaskini uliotopea.

Kazi ya kuendeleza Taifa, si lelemama.

Kile anachokifanya Rais Capt. Ibrahim Traoré wa Burkina Fasso, ndo kinachopaswa kuigwa na kila Taifa la Kiafrika linalotaka kuwakomboa raia wake toka kwenye umaskin

Vita dhidi ya umaskini haijawahi kuwa nyepesi!
CCM HAWAAMINIKI NI MATAPELI
 
Hii kaulimbiu imekaa kipigaji sana.

Haitatufikisha popote kama Taifa.

Zaidi zaidi, tutarajie wachache walioko madarakani kutajirika wao pamoja na washirika wao ilhali wengi wa raia wakiishia kwenye umaskini uliotopea.

Kazi ya kuendeleza Taifa, si lelemama.

Kile anachokifanya Rais Capt. Ibrahim Traoré wa Burkina Fasso, ndo kinachopaswa kuigwa na kila Taifa la Kiafrika linalotaka kuwakomboa raia wake toka kwenye umaskini.

Vita dhidi ya umaskini haijawahi kuwa nyepesi!
Fanya kazi slogan haikuletei hela na WWE sio SI unit ya slogans
 
Tuna viongozi wapuuzi walioshindwa kutekeleza majukumu Yao na kuleta sababu zisizo na msingi wowote.

Kuna Mass failure kidato Cha nne Kwa nini hao ndio iwe lazima kwenda VETA??

Degree zikienda VETA, Diploma VETA, Certificate VETA, form Six VETA, form four VETA na darasa la saba VETA baada ya miaka 10 tu HAKUTA KALIKA tutarudi kule kule tu.

Sera na sheria za Nchi inabidi zibadilishwe

1., toa passport Kwa vijana wote nchini

2. Weka sheria vijana wote kutoka kidato Cha nne waende VETA japo miaka 2

3. Toa mikopo nafuu Kwa makundi ya vijana 100 waliotoka VETA.

3. Punguza umri wa kustaafu kutoka 60 hadi 55.

4. Ondoka nafasi zote za uteuzi ziwe za ushindani.

5. Weka mazingira rafiki ya biashara

TATIZO SERIKALI YA CCM HAWAWEZI KUFANYA HAYO NI WAOGA NA INCOMPETENT...

Asante.
Mimi kwenye umri wa kustaafu nlitamani sana maximum usizidi 45 ili kutoa fursa ya kufanya kazi na kwa vijana wengine pia.
 
Back
Top Bottom