Mkuu aaa hii nimeipenda sana tena sana na mwenye macho hambiwi tazama na laite na sisi tungiega hivi basi tungekuwa mbali sana na maendeleo makubwa tungeyapata na viongozi safi na pasingekuwa na kizim kuti au mezengwe ya usultani wa kisiasa wa kibongo na hata kile kibatari tungekuwa tusha kizika lakini kasumba hii ndio bado tunakiabudu usiku na mchana na mangoma kucheza na wanafunzi na mwisho ni kiiza na hasara