Hii sawa jamani?

Ndugu yangu ukiona manyoya ujue kanga kaliwa sasa subiri tu mpaka uachike gift ya chupi? tafakari chukua ..................
 
pole kaka kaa macho hapo jeshi linasogea jihami mapema
 
Nguo za ndani?Na wewe unaamini ni marafiki?Angalia wasije wakawa wanakuchezea mchezo

na hiii ndo point atampaje nguo za ndani!!!! na huyu jamaa anaonekana ana nidhamu ya uoga ingekuwa mimi mbona kishaeleweka muda tu!!!
 
Mbna wewe umeniita mpenz hapo juu?? Bas na mm nakusemea kwa mpenzi Remote umetaka nkuchepuke wakat nampenda Remote wangu
Hivi wewe ndiyo unakataa mimi kukuita hivyo ama?

huyo bwana mdogo kiwatengu hazipendi kucha zake eeh!

Mimi? Kwani umetoka wapi na huyu mdada?

Hajpend..naomba mu ulmboka huyo... na ikiwezekana mu ufosaro. We kiwatengu take care, dare u to get closer

Sidhani kama utaweza na mimi nitaweza
 
Last edited by a moderator:
Kwan wewe huna uwezo wa kumnunulia hivyo vitu? Kashaliwa huyoo wewe umelala tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…