Sasa unataka tukusaidie vipi wakati tayari unajua unachokitaka???Jamani wakina dada wa umu jamvini, nisaidieni kwa hili pls,experiences zenu ni mhm kwangu, naitajikujua, naitaji kujenga mapenz yakudumu baadae bt kwa sasa gundi zimenikaba NIPO NJIA PANDA, NAOMBENI MAWAZO!
Hivi Nyeto imepitwa na wakati?
Punyeto ni msaada mkubwa kwa tatizo linalokukabili,hasara ipo kidogo ya fedha kidogo za kununulia lubricant like soap,oil e.t.c
bado sana hiyo kitu haitakuja kupitwa na wakati hadi yesu arudi kwa mara nyingine duniani!:happy:Hivi Nyeto imepitwa na wakati?
kwani wewe kabla ya kuwa senior expert hukuwahi kuitumia!wewe huwa unatumia hiyo kitu?
We huna dada au hata binamu umuunganishie????
Sasa unataka tukusaidie vipi wakati tayari unajua unachokitaka???
miezi saba si mingi kiivyo....endelea hadi upate anayekufaa!!!
naelekea kuamini kuna wanaume wanakuwa kwenye relatioshi for the sake of SEX only!
Mwenzenu ni mwezi wa 7 sasa toka shemeji yenu na mimi tulipositisha mahusiano yetu ya awali. Ktk kipind hcho cjapata mpenz mpya wala kushiriki tendo la ndoa na mwanamke yoyote. Hapa nilipo nina magundi/mapatex ya ukweli, ukame umenitawala. Nishauri nifanye nin pls coz imefika hatua natamani nika purchase mlupo unipoze!