J Janerose mzalendo JF-Expert Member Oct 4, 2018 3,882 2,813 Jul 22, 2019 #2 Ni hatari. Kenya has been trending for the wrong reasons lately 😕
MK254 JF-Expert Member May 11, 2013 31,760 48,688 Jul 22, 2019 #3 Hehehe!!! Jamaa kapata celebrity status ya kiaina...
M MENGELENI KWETU JF-Expert Member May 8, 2013 9,549 24,156 Jul 23, 2019 #5 Ofisi ya DPP Kenya ipo very independent kiukweli.
M MwendaOmo JF-Expert Member Dec 16, 2013 774 723 Jul 23, 2019 #6 Hapa Nurdin na Kinoti wanajiona ni celebrity sana. Kwa kweli, Rotich ameniudhi kwa muda mrefu, ila hivi vita hakuna pahali vinaenda. Kwani Rais ni mlevi kiwango gani ili 7 billion zilipwe kama hajui? Si ni yeye aliyeweka saini kwa huo mkataba?
Hapa Nurdin na Kinoti wanajiona ni celebrity sana. Kwa kweli, Rotich ameniudhi kwa muda mrefu, ila hivi vita hakuna pahali vinaenda. Kwani Rais ni mlevi kiwango gani ili 7 billion zilipwe kama hajui? Si ni yeye aliyeweka saini kwa huo mkataba?