Melxcom991
Member
- Aug 2, 2021
- 48
- 25
Natumia MongoDBSQL ongeza hapo
😁Natumia MongoDB
Ni very basic, sikuiz when it comes to production peoples goes too farSQL ongeza hapo
Nilikua kwenye same roadmap ila hapo kwenye front end, niliskip React JS nimeingia Python, ila naona na mipango imebadilika nataka ni stick na Python kwa ajili ya Desktop Apps.
Cool nakubali sio mbayaNilikua kwenye same roadmap ila hapo kwenye front end, niliskip React JS nimeingia Python, ila naona na mipango imebadilika nataka ni stick na Python kwa ajili ya Desktop Apps.
Kaah!! Mpya kwangu hii mkuuMh, hapa kama unapoteza mda
Kwa nini usijifunze kwa njia ya stacks
1. LAMP Stack (hii ni popular sana hasa tanzania, ni cheap ku host pia tutorials zipo nyingi youtube + large community support)
2. MEAN Stack (hii ni large scale production stack kama una web based SaaS au idea unaweza uka adapt hii stack, Mimi pia niliwahi ku migrate codebase kutoka java to MEAN)
3. MEVN Stack ( Haina tofauti sana na hiyo hapo juu sema unatumia vue frontend)
4. Django au Rails Stack ( hizi ukiwa advance kidogo kwenye python au ru
Hapo natak niive na django, natak niwe familia sana na python ili nijejifuz machine learning pia,Haina makosa kama unataka Python, ila Flask/Django ni kama washindani so hauhitaji zote mbili, ila sio vibaya kujifunza zote.
Pia ungeweza kufanya JavaScript/Typescript kwenye backend so inakuwa ni lugha moja mbele na nyuma na imekuwa popular zaidi siku hizi kama hilo ni muhimu.
Nakubali kaka,All the best. Stay consistent