Ndugu yangu sio kwamba anamuonea aibu ila tu haamini majicho kama kweli kapata ngekewa ya kucheza na mrembo Sepetu.Anaona ni ndoto za mchana.Ndo maana kakosa hadi pozi la kucheza,chezeya mtoto Wema wewe sauti tu unarukwa na akili,ikawe 0 distance ya hivyo?