Hii picha kiboko!!!!!

stress za bunge,cdm tupa kule bajuka juu
 
Ndugu yangu sio kwamba anamuonea aibu ila tu haamini majicho kama kweli kapata ngekewa ya kucheza na mrembo Sepetu.Anaona ni ndoto za mchana.Ndo maana kakosa hadi pozi la kucheza,chezeya mtoto Wema wewe sauti tu unarukwa na akili,ikawe 0 distance ya hivyo?
 
Hapo sijui nani aliyemfuata mwenzake...!!!
 
Daahh..hata mimi huwa namtoleaga macho kweli huyu mtoto ingawa watu wanasema ni kicheche na gold digger ila to hell ngoja nikazitafute kwanza..!!lazima aliwe huyuu..!!
 
kakomaa na kuangalia kifua tu.chezea chuchu ww
 
At least flys iko flat looh!!! ila nasikia kesha nanihiii looongi,mzee ukiwa na hama unakata na kufunua tu
 
kwani ZZK ni mpole kiasi hicho??? Wema kazi ni kwako
 
kweli zitto ni kidume...! manake nimeangalia sehemu za siri naona hazijatuna..!
 
Hahahaaa...hivi kile kipengele cha mgombea urais kupimwa afya kabla ya kuteuliwa nowadays sio kivile sana eeeh?....lol.
 
Hahaha na kweli mkuu, hebu angalia mkono wa kushoto wa ZZK halafu na mdomo wake...ni kama mtu kwenye wasiwasi!!!!

mkuu mbona inaonekana kabisa wema anataka kumbaka ZZK
 
Hapo Bucha tu ndo tofauti, lakini nyama ni.......!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…