Wanajamvi hizi ni muendelezo wa picha za tukio la malori yaliyoungua boda whisky Congo
mungu alaze roho za marehem mahal pema peponi....amin
wapi mtoa mada ameandika kuna watu wamekufa?
hiyo picha moja ya chini yanye maiti nyingi SI KWELI...ni wale watu waliochomwaga na boko haram nigeria....SIJUI hasa mtu anapata faida gani kukuza na kuweka habari za uongo..na kupotosha... najiuliza ana faidika nini nakosa jibu..sana sana kujichumia dhambi bureeee..hata husukumwi na mtu... #cheapMinds
Nilikuwa najiuliza hii picha kama nilishaiona kabla ya tukio la twist!hivi walikufa watu wangapi hapo twist?
Wanajamvi hizi ni muendelezo wa picha za tukio la malori yaliyoungua boda whisky Congo