April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,403
- 2,118
- Thread starter
- #21
Hahahha ,kwa hiyo poa tu. Umri wako tafadhariKuna watu mnacomplicate sana maisha..uonekane una heshima then what?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha ,kwa hiyo poa tu. Umri wako tafadhariKuna watu mnacomplicate sana maisha..uonekane una heshima then what?
Kama hivyo bas hilo jambo dogo sanaaa kifupi hakuna kesi hapo kawaida hiyo kwa jamii ya sasa labda km amtelekeze huyo binti lkn km ana nia ya kuoa basi aende nae mradi akifika alipe mahari aloambiwa mchezo umeisha hata km binti mjamzito mahar haiwez kataliwa. Binafsi mm nililipa mahari baada ya kumzalisha kabisaa binti mtoto mmoja baada ya kujifungua ndo binti alienda kwao kusalimia nami nilifata baada ya siku km 4 hivi lkn nilienda mshenga na kulipa mahari hukohuko then mengine yalifataAsichokijua baba ni mwanae kuwa na ujauzito lakini hatua nyingine zote anafahamu na ndie aliepanga mahari lakini hawa wameanza kuishi kabla ya mahari na had sasa mke ni mjamzito.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nashukuru kwa kunielewa, sasa yeye anadai hana mahari kwa sasa lakini analazimika afike kufahamiana na wazazi wa binti . ndo anauliza hii imekaaje kitaalam hahahbaaKama hivyo bas hilo jambo dogo sanaaa kifupi hakuna kesi hapo kawaida hiyo kwa jamii ya sasa labda km amtelekeze huyo binti lkn km ana nia ya kuoa basi aende nae mradi akifika alipe mahari aloambiwa mchezo umeisha hata km binti mjamzito mahar haiwez kataliwa. Binafsi mm nililipa mahari baada ya kumzalisha kabisaa binti mtoto mmoja baada ya kujifungua ndo binti alienda kwao kusalimia nami nilifata baada ya siku km 4 hivi lkn nilienda mshenga na kulipa mahari hukohuko then mengine yalifata
Hahahaha bwege kweli yani ,toa madini watu wapone aisee maisha haya noma sana.
Hii simshauri aende sio picha nzuri maana mahari alishatajiwa akienda awe na mahari hata nusu au robo itasound mahari sio lazima ilipwe yote on spot km ni laxima aende bas aende na kias flan hata robo au nusu ya mahar km kianzio hapo itasound tofaut na hapo asiende kabisaaa mpaka akijipangaSawa nashukuru kwa kunielewa, sasa yeye anadai hana mahari kwa sasa lakini analazimika afike kufahamiana na wazazi wa binti . ndo anauliza hii imekaaje kitaalam hahahbaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Oky mkuu.Hii simshauri aende sio picha nzuri maana mahari alishatajiwa akienda awe na mahari hata nusu au robo itasound mahari sio lazima ilipwe yote on spot km ni laxima aende bas aende na kias flan hata robo au nusu ya mahar km kianzio hapo itasound tofaut na hapo asiende kabisaaa mpaka akijipanga
Wazee wa mwanamke walisema hata kama hana hela bora aende wamufahamu kuliko kuishi na mtoto wao wakati hawamjui. Sasa jamaa anawaza kapewa hiyo option je itakuwaje maana asipoenda pia itaonekana kadharauHii simshauri aende sio picha nzuri maana mahari alishatajiwa akienda awe na mahari hata nusu au robo itasound mahari sio lazima ilipwe yote on spot km ni laxima aende bas aende na kias flan hata robo au nusu ya mahar km kianzio hapo itasound tofaut na hapo asiende kabisaaa mpaka akijipanga
Aende tu kwakuwa walishamruhusuAhsante sana kiongozi ,anasema kwenye hivo vitu aliambiwa lakini akasema ingekuwa subra kwao angejiandaa akaenda baadae.
Ila wao wanataka hata kama hana hela aende tu wakamfahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app