Hii ni ngoma ya wapi?

Nahisi ni "Waha" wa kutoka Kigoma ndio niliwahi ona wanacheza kama hivyo pindi nlipokuwa nasoma.

Wajuzi zaidi watakuja kukutanabaisha mimi nimeanzia hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…