Hii ni kweli?

Hahahaha.

Nyie watu bhana. Kwa hiyo huyu jirani yangu mmachame anamfanyia hayo???hahah
 
Hivi rombo si ipo kilimanjaro?![emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akina manka mnatutia aibu kwakweli,
Utafikiri nyie sio watanzania banaaaa,
Hebu kuweni wazalendo ndugu zangu.

Maendeleo hayana chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…