Ni kweli kabisa tofauti ya Slaa na Lipumba ,yaani Lipumba anakuwa ni mlima kilimanjaro na huyo Slaa ndio kichuguu ,Slaa amna kitu tunamponda Kikwete kuwa tumepotea njia sasa kumchagua Slaa sio itakuwa tu kupotea njia bali hata muelekeo wa tunapoelekea utakuwa hau[o .kumchagua Slaa ni kupanda mkenge !!! Take care ,jamani tumemchagua Kikwete 2005 imekuwa kama tumeingia kisimani na mkifanya utumbo safari hii kumchagua Slaa itakuwa tumetumbukia bahari ,ndio itakuwa imekwenda Tanzania arijojo ,Slaa mdini na mkabila ,let us see !!!Tatizo hashindi.