chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,710
- 22,775
kwa majibu ya aina hii hela huna weweIli unipige au
kwa majibu ya aina hii hela huna weweIli unipige au
Wasiliana na VOX ENGINEERING INTERNATIONAL LTDHabari Wana JF,Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.
Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu,Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
My brother or my sister Nina ndugu yangu ambae anajihusisha na ujenzi na usimamizi wa nyumba za watu wengi ambao hawana nafasi ya kusimamia. Mie mwenyewe amenisimamia nyumba zangu mbili maeneo ya Makondeko darasalaam.Habari Wana JF,Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.
Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu,Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
Ok..fuata huo ushauri.Najenga kwaajili yangu
Sio nyumba tu,kitu chochote kinaweza kujengwa kwa muda mfupi ni hela yako tu ndugu.rejea ujenzi wa ile hospital ya corona China.Siku 40 unamalizaje ujenzi
Kibongo bongo bila ujenzi kukata miaka nane mtu anakua hajaridhika kama hiyo nyumba kweli itakua salama kuishi na imekamilika 😂😂Sio nyumba tu,kitu chochote kinaweza kujengwa kwa muda mfupi ni hela yako tu ndugu.rejea ujenzi wa ile hospital ya corona China.
Habari Wana JF,Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.
Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu,Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
Hujasikia China walijenga hospital kubwa ya corona within ten days!!?Siku 40 unamalizaje ujenzi
Habari Wana JF.
Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
Ndugu A3M, ukiipa kampuni au ndugu ni lazima tu uibiwe au upigwe. Kama hutaki kuibiwa au kupigwa. Tunza hela yako bank, ukirudi utajenga kwa viwango vyako utakavyo. Mtu hawezi kusimamia nyumba yako bila ya yeye pia kupata chochote kitu. Huu ni ukweli mchungu.
Asante kwa ushauri mkuuNdugu A3M, ukiipa kampuni au ndugu ni lazima tu uibiwe au upigwe. Kama hutaki kuibiwa au kupigwa. Tunza hela yako bank, ukirudi utajenga kwa viwango vyako utakavyo. Mtu hawezi kusimamia nyumba yako bila ya yeye pia kupata chochote kitu. Huu ni ukweli mchungu.
Habari Wana JF.
Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
Habari Wana JF.
Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
Ndugu A3M, ukiipa kampuni au ndugu ni lazima tu uibiwe au upigwe. Kama hutaki kuibiwa au kupigwa. Tunza hela yako bank, ukirudi utajenga kwa viwango vyako utakavyo. Mtu hawezi kusimamia nyumba yako bila ya yeye pia kupata chochote kitu. Huu ni ukweli mchungu.
Money talks!Siku 40 unamalizaje ujenzi