Hii ni kwa Wanaohusika na taaluma ya Ujenzi wa Nyumba

Habari Wana JF,Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.
Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu,Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
Wasiliana na VOX ENGINEERING INTERNATIONAL LTD
Namba za simu: 0714136897, 0716697554
kwa masuala ya ujenzi, kuipamba nyumba yako pamoja na kufanya electrical wiring.
 
Habari Wana JF,Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.
Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu,Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
My brother or my sister Nina ndugu yangu ambae anajihusisha na ujenzi na usimamizi wa nyumba za watu wengi ambao hawana nafasi ya kusimamia. Mie mwenyewe amenisimamia nyumba zangu mbili maeneo ya Makondeko darasalaam.
Ni pm ili nikuunganishe nae hutajutia
 
Sio nyumba tu,kitu chochote kinaweza kujengwa kwa muda mfupi ni hela yako tu ndugu.rejea ujenzi wa ile hospital ya corona China.
Kibongo bongo bila ujenzi kukata miaka nane mtu anakua hajaridhika kama hiyo nyumba kweli itakua salama kuishi na imekamilika 😂😂
 
Habari Wana JF,Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa.
Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu,Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi

Ndugu A3M, ukiipa kampuni au ndugu ni lazima tu uibiwe au upigwe. Kama hutaki kuibiwa au kupigwa. Tunza hela yako bank, ukirudi utajenga kwa viwango vyako utakavyo. Mtu hawezi kusimamia nyumba yako bila ya yeye pia kupata chochote kitu. Huu ni ukweli mchungu.
 
Habari Wana JF.

Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi

Ndugu usijaribu huo ujinga...nyumba ata uipe kampuni lazima mwenyewe uwepo.

Yaani hiyo miaka mitano unashindwa tafuta wiki sita tuu une usimamie?
 
  • Thanks
Reactions: A3M
Ndugu A3M, ukiipa kampuni au ndugu ni lazima tu uibiwe au upigwe. Kama hutaki kuibiwa au kupigwa. Tunza hela yako bank, ukirudi utajenga kwa viwango vyako utakavyo. Mtu hawezi kusimamia nyumba yako bila ya yeye pia kupata chochote kitu. Huu ni ukweli mchungu.

Wee unajua ujenzi
 
Ndugu A3M, ukiipa kampuni au ndugu ni lazima tu uibiwe au upigwe. Kama hutaki kuibiwa au kupigwa. Tunza hela yako bank, ukirudi utajenga kwa viwango vyako utakavyo. Mtu hawezi kusimamia nyumba yako bila ya yeye pia kupata chochote kitu. Huu ni ukweli mchungu.
Asante kwa ushauri mkuu
 
Kuna makampuni mengi kama cost consult wao wanaweza kukusimamia hadi mwisho wa ujenzi wako ila ukitumia vikampuni visivyoeleweka watakupiga na kujenga chini ya viwango
 
Nyumba ya aina gani hiyo mkuu? ghorofa au ya kawaida tu?Kuna kampuni nilitaka nikuoe mawasiliano nao ufanye nao kazi.
Habari Wana JF.

Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
 
Ningekushauri kwakua ukobali ni bora ungechukua kampuni ndogo tu hata class seven. Ujengewe kwa uaminifu mkubwa si mafundi wetu hawa. Kwanza kampuni itakuwa liable na chochote kile kitakachotokea na kuna kuwa na contract kuliko hawa mafundi wetu wa mtaani.

Kampuni imekuwa registered crb hata kukitokea chochote unaweza kushtaki si kama hawa mafundi wakawaida. Karibu gracefem.co.ltd tukuhudumie tuko Arusha.
 
Ukihitaji kuchimba kisima usisite kuwasiliana nasi
Habari Wana JF.

Ni matumaini yangu mko poa na mnaendelea vizuri na Shughuli za Ujenzi wa Taifa. Wakuu Mimi naishi nje ya nchi na sitarajii kurudi kwa miaka hii mitano inayokuja lakini nahitaji kujenga Nyumba ambapo kiwanja kipo tayari nilishanunua ila tatizo sina mtu wa kunisimamia hivyo naomba kujua kampuni inayoaminika inayoweza kunifanyia Usanifu, Manunuzi na Ujenzi ili tuweze kufanya kazi maana sina ndugu ambae namuamini wa kusimamia Ujenzi wangu hivyo nahitaji Kampuni ya Uhakika ya kufanya nayo kazi
 
Hata hiyo nyumba ikifanikiwa kujengwa watu wakishajua haurudi sasa hivi bongo wataiuza tu watu wale pesa
Ndugu A3M, ukiipa kampuni au ndugu ni lazima tu uibiwe au upigwe. Kama hutaki kuibiwa au kupigwa. Tunza hela yako bank, ukirudi utajenga kwa viwango vyako utakavyo. Mtu hawezi kusimamia nyumba yako bila ya yeye pia kupata chochote kitu. Huu ni ukweli mchungu.
 
Mtafute mtu anaitwa SIMEON MPYANGA ni mwalimu pale Ardhi university, anafundisha architecture, na ana kampuni yake ya kuchora ramani za majengo inaitwa Hansi. Huyu ndiye mtu pekee katika ninaowajua anaeweza kukusaidia kukusaidia shida yako.

Ni mtu mwaminifu na mwadilifu na ana ujuzi, uzoefu, na elimu ya kutosha kwenye unachotaka na hana njaa zetu hizi. Shida ni kukukubalia. Mi namba zake nishapoteza ila kama una shida jaribu kumtafuta.
 
Back
Top Bottom