Hii ni kufuru!

Binafsi mimi hujanishawishi bado.
Screenshot_20190107-220328_Samsung Internet.jpg
 
Inawezekana wewe hujui utakula nini leo, lakinimwenzako Franck Ribery msukuma ndinga wa timu ya Bayern Munich ameonekana akila nyama iliyopakwa dhahabu (gold coated meat) kwenye mgahawa maarufu huko Dubai.

Siku za karibuni wachezaji mbalimbali waneonekana wakila nyama za kuchoma kwenye huo mgahawa unaomilikiwa na bwana mmoja raia wa nchi za falme za kiarabu. Rais wa Venezuela ni mmoja wapo wa watu waliokula kwenye mgahawa huo unaosifika kwa nyama tamu za mbuzi pamoja na manjonjo ya mmiliki wake.View attachment 988910
Nani kakwambia kua mmiliki wa huo mgahawa ni raia wa nchi za falme za kiarabu?
Punguzeni kukurupuka vijana,kitu kama hujui ni bora kupiga kimya tu au kuuliza kuliko kupotosha hadhira,
Huyo mmiliki wa hiyo Nusr-Et restaurant ni raia wa Uturuki na jina lake kamili ni Nusret Ğokçe maarufu kama "Salt Bae"
 
Nani kakwambia kua mmiliki wa huo mgahawa ni raia wa nchi za falme za kiarabu?
Punguzeni kukurupuka vijana,kitu kama hujui ni bora kupiga kimya tu au kuuliza kuliko kupotosha hadhira,
Huyo mmiliki wa hiyo Nusr-Et restaurant ni raia wa Uturuki na jina lake kamili ni Nusret Ğokçe maarufu kama "Salt Bae"
Nimekubali...
 
Inawezekana wewe hujui utakula nini leo, lakinimwenzako Franck Ribery msukuma ndinga wa timu ya Bayern Munich ameonekana akila nyama iliyopakwa dhahabu (gold coated meat) kwenye mgahawa maarufu huko Dubai.

Siku za karibuni wachezaji mbalimbali waneonekana wakila nyama za kuchoma kwenye huo mgahawa unaomilikiwa na bwana mmoja raia wa nchi za falme za kiarabu. Rais wa Venezuela ni mmoja wapo wa watu waliokula kwenye mgahawa huo unaosifika kwa nyama tamu za mbuzi pamoja na manjonjo ya mmiliki wake.

Pitia Link
Avertissement de redirection

View attachment 988910
hata BenPol kala hapo nini rais wa Venezuela bana
 
Naona Mr unatembea mule mule kwenye kipenyo cha ukweli 100%, safi sana Chifu.
Kwamba nyama imepakwaa Dhahabuu???? Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Wazungu hawana ulimbukeni wa hivyo hasa kwenye suala la Afyaa zaooo... Unajua athari ya Metal kama dhahabu mwilini wewe??? Saa nyingine ficha Ujinga wakooo...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba nyama imepakwaa Dhahabuu???? Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Wazungu hawana ulimbukeni wa hivyo hasa kwenye suala la Afyaa zaooo... Unajua athari ya Metal kama dhahabu mwilini wewe??? Saa nyingine ficha Ujinga wakooo...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuona kama umeuliza madhara ya metal... unazijua inert metals....unajua kwa nini inatumika kwenye mapambo.... sasa mjinga ni nani ..ukiwa huku niachie tu..bwabajeni kwenye siasa zenu ..huku bado sana
 
Hata kwa viboko Uarabuni siendi, we maisha gani ukinywa bia kesi. Sasa raha ya Dunia iko wapi bila kumimina?
 
Kwamba inert metal...!! Bhasi umeshinda wewe... Jamaa kala dhahabuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Na yeye sio wa kwanza kula dhahabu... watu wengi watu wanakula vyakula vya aina tofauti tofauti ambavyo vimekuwa coated na dhahabu.... Google tu utaona.... muhimu haipaswi kuzidi karat 24 za pure gold kwenye chakula
 
Back
Top Bottom