Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
- Thread starter
- #21
Na wewe nimekuongezaKwamba nyama impakwaa Dhahabuu???? Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe nimekuongezaKwamba nyama impakwaa Dhahabuu???? Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi mimi hujanishawishi bado.Nakuongeza kwenye kundi
Dietary intake of platinum and gold by children from Germany using duplicate portion sampling. - PubMed - NCBIKwamba nyama imepakwaa Dhahabuu???? Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Wazungu hawana ulimbukeni wa hivyo hasa kwenye suala la Afyaa zaooo... Unajua athari ya Metal kama dhahabu mwilini wewe??? Saa nyingine ficha Ujinga wakooo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi mimi hujanishawishi bado.
Binafsi mimi hujanishawishi bado.
Na wewe umeamini pole.
Nani kakwambia kua mmiliki wa huo mgahawa ni raia wa nchi za falme za kiarabu?Inawezekana wewe hujui utakula nini leo, lakinimwenzako Franck Ribery msukuma ndinga wa timu ya Bayern Munich ameonekana akila nyama iliyopakwa dhahabu (gold coated meat) kwenye mgahawa maarufu huko Dubai.
Siku za karibuni wachezaji mbalimbali waneonekana wakila nyama za kuchoma kwenye huo mgahawa unaomilikiwa na bwana mmoja raia wa nchi za falme za kiarabu. Rais wa Venezuela ni mmoja wapo wa watu waliokula kwenye mgahawa huo unaosifika kwa nyama tamu za mbuzi pamoja na manjonjo ya mmiliki wake.View attachment 988910
Nimekubali...Nani kakwambia kua mmiliki wa huo mgahawa ni raia wa nchi za falme za kiarabu?
Punguzeni kukurupuka vijana,kitu kama hujui ni bora kupiga kimya tu au kuuliza kuliko kupotosha hadhira,
Huyo mmiliki wa hiyo Nusr-Et restaurant ni raia wa Uturuki na jina lake kamili ni Nusret Ğokçe maarufu kama "Salt Bae"
hata BenPol kala hapo nini rais wa Venezuela banaInawezekana wewe hujui utakula nini leo, lakinimwenzako Franck Ribery msukuma ndinga wa timu ya Bayern Munich ameonekana akila nyama iliyopakwa dhahabu (gold coated meat) kwenye mgahawa maarufu huko Dubai.
Siku za karibuni wachezaji mbalimbali waneonekana wakila nyama za kuchoma kwenye huo mgahawa unaomilikiwa na bwana mmoja raia wa nchi za falme za kiarabu. Rais wa Venezuela ni mmoja wapo wa watu waliokula kwenye mgahawa huo unaosifika kwa nyama tamu za mbuzi pamoja na manjonjo ya mmiliki wake.
Pitia Link
Avertissement de redirection
View attachment 988910
Sikujuahata BenPol kala hapo nini rais wa Venezuela bana
Tujuze mkuu kwa faida ya wasomajiKuna kitu nimekigundua JF
Kwamba nyama imepakwaa Dhahabuu???? Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Wazungu hawana ulimbukeni wa hivyo hasa kwenye suala la Afyaa zaooo... Unajua athari ya Metal kama dhahabu mwilini wewe??? Saa nyingine ficha Ujinga wakooo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuona kama umeuliza madhara ya metal... unazijua inert metals....unajua kwa nini inatumika kwenye mapambo.... sasa mjinga ni nani ..ukiwa huku niachie tu..bwabajeni kwenye siasa zenu ..huku bado sanaKwamba nyama imepakwaa Dhahabuu???? Hivi wabongo nin shidaa lakinii yani kila Cha njano ni dhahabuuu...
Wazungu hawana ulimbukeni wa hivyo hasa kwenye suala la Afyaa zaooo... Unajua athari ya Metal kama dhahabu mwilini wewe??? Saa nyingine ficha Ujinga wakooo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba inert metal...!! Bhasi umeshinda wewe... Jamaa kala dhahabuu...Sikuona kama umeuliza madhara ya metal... unazijua inert metals....unajua kwa nini inatumika kwenye mapambo.... sasa mjinga ni nani ..ukiwa huku niachie tu..bwabajeni kwenye siasa zenu ..huku bado sana
Na yeye sio wa kwanza kula dhahabu... watu wengi watu wanakula vyakula vya aina tofauti tofauti ambavyo vimekuwa coated na dhahabu.... Google tu utaona.... muhimu haipaswi kuzidi karat 24 za pure gold kwenye chakulaKwamba inert metal...!! Bhasi umeshinda wewe... Jamaa kala dhahabuu...
Sent using Jamii Forums mobile app