The Negro
Member
- Aug 27, 2016
- 41
- 21
Wakuu habari zenu....
Ni matumaini yangu mu wazima na buheri wa afya kwa wale wagonjwa ugueni pole.
Dukuduku langu ni juu ya watu wachache humu kwenye jukwaa la elimu, watu hawa hupenda kuponda baadhi ya vyuo na kozi ambazo watoa maada huja kutafuta ushauri humu.
Ushauri wao huwa sio ushauri kabisa bali ni kuvunja moyo,kukatishana tamaa na kubezana,kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kua wengi wa hao watu hawajawahi kukanyaga chuo kikuu,wengine hata diploma hawana,kazi yao ni kupayuka tu na kuwachanganya watu waliochaguliwa kujiunga vyuo vikuu.
Mwisho ningependa kuwaomba wahusika waache hii tabia mara moja,endapo kama unataka ku criticise kozi au chuo cha mtu,ebu toa hoja na sio kuleta wivu wako,na chuki kwa walio kuzidi kisomo.
Ni matumaini yangu mu wazima na buheri wa afya kwa wale wagonjwa ugueni pole.
Dukuduku langu ni juu ya watu wachache humu kwenye jukwaa la elimu, watu hawa hupenda kuponda baadhi ya vyuo na kozi ambazo watoa maada huja kutafuta ushauri humu.
Ushauri wao huwa sio ushauri kabisa bali ni kuvunja moyo,kukatishana tamaa na kubezana,kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kua wengi wa hao watu hawajawahi kukanyaga chuo kikuu,wengine hata diploma hawana,kazi yao ni kupayuka tu na kuwachanganya watu waliochaguliwa kujiunga vyuo vikuu.
Mwisho ningependa kuwaomba wahusika waache hii tabia mara moja,endapo kama unataka ku criticise kozi au chuo cha mtu,ebu toa hoja na sio kuleta wivu wako,na chuki kwa walio kuzidi kisomo.