Hii ni Hoja mfu: Eti alikamata meli ya samaki tukashindwa mahakamani...

Lendomz

JF-Expert Member
Feb 9, 2017
446
381
Ziko taarifa na shutma mbalimbali kuwa mh rais JPM akiwa waziri Wa uvuvi alikamata meli ya samaki lakini tukashindwa mahakamani!! Eti alisababisha sheli kufungwa huko mwanza tukalipa mamilioni!! Hoja hii inawapa kiburi wezi eti hata katika hili swala LA mchanga tukashindwa mahakamani na kulipa mabilioni!! Hii ni hoja mfu kabisa na nasikitika kuwa wapinzani wamelishikia bango mpaka kwenye mkutano Mkuu wao huko waliko!! Watu wanaosema hivi hawana mapenzi mema na taifa letu!!
Mh rais Kaunda kamati ya uchunguzi na imemletea ripoti!! Katoa uamzi kulingana na kilichomo ndani ya ripoti!! Kama asingeunda kamati ya uchunguzi akajiamlia mwenyewe hapo ningesapoti hoja ya watu Hawa wanaomsimanga rais wetu!!

Kama kamati ingetoa ripoti halafu mh rais asiifanyie kazi nakwambia kuwa wapinzani Wa Magufuli wangekuja na kioja kingine kuwa rais amedharau mapendekezo ya kamati, Mara huyu hashauriwi, Mara huyu ni fisadi, Mara huyu siyo mzalendo !!

Swala kuwa tumekuwa tukishindwa mahakamani ni kitu kingine!! Kwani Ni Wa kwanza kushindwa mahakamani? Kwani ni sisi Wa kwanza kushindwa mahakamani? Kwani Mbowe kwa mfano hajashindwa Mahakani na kusababisha bilicanas kuvunjwa?kwani Mbowe hajashindwa kesi pale hai akalazimika kulipa milioni moja?

Kushindwa mahakamani inategemeana na hoja ulizozipeleka na mwanasheria uliyemweka!! Tumeona jinsi wanasheria wetu wanavyokosa uzalendo na kusababisha hasara kwa taifa letu!! Mfano uliyo hai ni Wa mh Werema aliyemshauri vibaya rais wetu JK kati swala LA Escrow!! Mpaka alijiuzulu uwanasheria Mkuu Wa serikali!! Swali ni je kushindwa kwetu mahakamani siyo makosa ya wanasheria wetu?
Liko swala la chenji ya radar!!aliyesimamia mikataba ile hakuwa mwanasheria nguli na atuhumiwa kuwa na vijisenti visivyoeleweka kwa wananchi?

Tufike wakati tuwe wazalendo kwa taifa letu!!kabla ya kumlaumu rais wetu tulitakiwa kusubiri kamati ya pili itakuja na mapendekezo yepi?Sasa kabla ya kamati ya pili watu wanakuja na makelele oooh rais kadanganywa!!!ripoti ile ni ya uchunguzi.kwa hiyo kabla ya kupinga you should come with an other report!!Na kama kweli tunalitakia mema taifa letu tumsaidie rais weti na siyo kulaumu au kupinga!!!

Ziko clip zikionyesha wapinzani Wa nchi hii hasa chadema wakilalamikia mikataba hii ya madini!!hata Dr slaa na Mh Lissu wamepongeza hatua hii ya JPM .Sasa wewe na Mimi tunapata wapi ujasiri wakumtukana na kumkejeli rais wetu eti hata alipokamata meli ya samaki ,Mara alipoifungia sheli ya mwanza tulishindwa mahakamani!!!Hii ni hoja mfu ambayo inaletwa na watu ambao akili za kizalendo zimekufa!!
 
If you
mikataba na sheria zetu wenyewe ndizo zitakazo tufunga,hii ishu ikienda mahakamani...na Ana historia ya kutuingiza vyaka kwelo,Maana sio chaka ni vyaka
Always accept you are a failure you will always fail and your development is nul
 
If you

Always accept you are a failure you will always fail and your development is nul
I didn't accept defeat,but you know what? There is a time your own trap you set for others,caught yourself.
Ndio kinachoenda kutendeka..na anaelataa hili,kaanza kuijua siasa Jana baada ya ripoti ya mchanga kutoka.
Stay tune my dear,utaniambia what will happen
 
Mtu anayepiga kelele kuhusu hili swala pengine hafahamu maswala ya kisheria.

Kwa miaka mingi waendesha mashtaka wetu wamekua wakikwamisha hizi kesi kwa milungula bila kujali maslahi ya taifa.

Mnakumbuka wale watu waliokamatwa wanapitisha maiti yenye madawa tumboni alafu mahakamani ukaletwa unga wa sembe?

Na siku zote, magistrate au Judge anaamua kesi kulingana na ushahidi uliopo, kwahiyo haka kamtindo kaku-twist evidences kanaelekea kufa kbsa turudi kwenye ubinadamu.
 
Hizi kesi haziendi kwenye mahakama za kawaida hizi ni mwendo wa ICC huko chamber of commerce...
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ziko taarifa na shutma mbalimbali kuwa mh rais JPM akiwa waziri Wa uvuvi alikamata meli ya samaki lakini tukashindwa mahakamani!! Eti alisababisha sheli kufungwa huko mwanza tukalipa mamilioni!! Hoja hii inawapa kiburi wezi eti hata katika hili swala LA mchanga tukashindwa mahakamani na kulipa mabilioni!! Hii ni hoja mfu kabisa na nasikitika kuwa wapinzani wamelishikia bango mpaka kwenye mkutano Mkuu wao huko waliko!! Watu wanaosema hivi hawana mapenzi mema na taifa letu!!
Mh rais Kaunda kamati ya uchunguzi na imemletea ripoti!! Katoa uamzi kulingana na kilichomo ndani ya ripoti!! Kama asingeunda kamati ya uchunguzi akajiamlia mwenyewe hapo ningesapoti hoja ya watu Hawa wanaomsimanga rais wetu!!

Kama kamati ingetoa ripoti halafu mh rais asiifanyie kazi nakwambia kuwa wapinzani Wa Magufuli wangekuja na kioja kingine kuwa rais amedharau mapendekezo ya kamati, Mara huyu hashauriwi, Mara huyu ni fisadi, Mara huyu siyo mzalendo !!

Swala kuwa tumekuwa tukishindwa mahakamani ni kitu kingine!! Kwani Ni Wa kwanza kushindwa mahakamani? Kwani ni sisi Wa kwanza kushindwa mahakamani? Kwani Mbowe kwa mfano hajashindwa Mahakani na kusababisha bilicanas kuvunjwa?kwani Mbowe hajashindwa kesi pale hai akalazimika kulipa milioni moja?

Kushindwa mahakamani inategemeana na hoja ulizozipeleka na mwanasheria uliyemweka!! Tumeona jinsi wanasheria wetu wanavyokosa uzalendo na kusababisha hasara kwa taifa letu!! Mfano uliyo hai ni Wa mh Werema aliyemshauri vibaya rais wetu JK kati swala LA Escrow!! Mpaka alijiuzulu uwanasheria Mkuu Wa serikali!! Swali ni je kushindwa kwetu mahakamani siyo makosa ya wanasheria wetu?
Liko swala la chenji ya radar!!aliyesimamia mikataba ile hakuwa mwanasheria nguli na atuhumiwa kuwa na vijisenti visivyoeleweka kwa wananchi?

Tufike wakati tuwe wazalendo kwa taifa letu!!kabla ya kumlaumu rais wetu tulitakiwa kusubiri kamati ya pili itakuja na mapendekezo yepi?Sasa kabla ya kamati ya pili watu wanakuja na makelele oooh rais kadanganywa!!!ripoti ile ni ya uchunguzi.kwa hiyo kabla ya kupinga you should come with an other report!!Na kama kweli tunalitakia mema taifa letu tumsaidie rais weti na siyo kulaumu au kupinga!!!

Ziko clip zikionyesha wapinzani Wa nchi hii hasa chadema wakilalamikia mikataba hii ya madini!!hata Dr slaa na Mh Lissu wamepongeza hatua hii ya JPM .Sasa wewe na Mimi tunapata wapi ujasiri wakumtukana na kumkejeli rais wetu eti hata alipokamata meli ya samaki ,Mara alipoifungia sheli ya mwanza tulishindwa mahakamani!!!Hii ni hoja mfu ambayo inaletwa na watu ambao akili za kizalendo zimekufa!!

Alitakiwa yeye mwenyewe ******** na CCM yake mara alipogundua kuwa "anaibiwa", immediately angetangulia mahakamani na wanasheria wake kwenda kudai haki yake huku akiwa amebeba makaratasi ya mikataba mliyosaini miaka ile mikononi mwake !!

Sasa badala ya kufanya vile, akaamua kutoka "kisiasa" kwa nia ya kupata "local political mileage" , pasipo kutambua kuwa anaingiza kichwa chake kwenye oven ama drier lenye moto mkali anyolewe bila maji huku akiungua kisawasawa !!!

Leo mnalia lia nini tena ndugu Lizaboni wakati kaburi la mikataba ya "kijinga" na "kishenzi" mmelichimba wenyewe mkisaidiwa na wabunge wenu wa "ndiyoooooooo ?" Si muingie tu mjizike humo bila kuanza kulaumu watu wengine bhana?
 
Acha kuhusisha kesi binafsi za mbowe na kodi zetu papasi wewe.Alafu inaonekana hujui maana ya neno uzalendo.Watu wafanye ujinga wa makusudi alafu mkiambiwa mnasema watu hawana uzalendo.au unadhani uzalendo ni kufanya ujinga kwa kuliibia au kulifilisi taifa alafu watu wakutetee.Watu wanapopiga kelele nikwasababu wanajua maembe mmekula nyie ganzi za meno tunakuja kupata sisi.Miaka 50+ hakuna jambo tumelifanya kwa ufanisi zaidi yakugusagusa nakukurupuka tu sasa kwanini na hili nalo tusione tumekurupuka.acha mambo ya kienyeji bana.
 
Kodi zinauma.acha tulipinge hili mapema kabla hatujaanza na kulipishwa kodi za vichwa wakati ilitabirika mapema ni nini mkulu anafanya na n nn kitatokea..hata aweke pamba vp maskion tutamchorea ubaoni na ataelewa vyema yu.sifa peleka chato.utaifa kwanza

"Hakuna umaskini mbaya kama umaskini wa mawazo, ni umaskini mbaya sana"
 
Hata tukilipa poa tu haina shida kwani tangu mchanga umeanza kupelekwa nje tumeibiwa kiasi gani?

Tukilipa na yakanyooshwa mambo tukaanza kufaidi rasilimali zetu kuna tatizo gani?

Hili suala la kuanza eti kubadili sheria kwanza ukute lingechukua hata miaka 10 kwa figisu figisu.

Bora alivyo likurupusha, jamaa hawa ni wajanja sana, bila kuwachezea counter attack watakupa shida.

Hii nchi ukifanya mazuri utapondwa, ukifanya mabaya utapondwa na hata usipofanya chochote watakuponda.
 
Back
Top Bottom