Uwezo wa kuzaa mapacha uko kwa mwanamke tuu na sio mwanaume, hivyo huyo kaka kupata wake wazaa pacha na mke wa nduguye kuzaa pacha, nijust a coincidence kwa upande wa mwanamume na wanawake hao, ila kwa wanawake kuzaa pachana kujirudia,ni genetics kwenye mambo ya mutations.
Hili la mke wa mtu kuzaa watotowanaofafana na nduguau jirani,pia its normal. Uthibitishoukokwenye biblia, ukiwa mja mzito, yule mtuunayemchukia sana basi utazaa mtoto anayefanana nae. Mbona jamanihata mimina wife wote weusi tii, wife amekaa ulaya, amejifungua mtoto mweupe copyright na mimi baba yake?. Wife akasema wakati wa ujauzito, aliwachukia sana wazungu!, its normal!.