kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Alipata kuandika Yericko Nyerere; mwanazuoni, mwanamkakati wa chama kikuu cha upinzani Tanzania Chadema na mchambuzi wa siasa za mataifa kwa mintarafu ya kijasusi (wa kidola na wa kiuchumi). CCM jitafakarini upya kwakua kuna kundi kubwa la vijana wanaotafta siasa zenye mvuto ili wafuate mkondo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app