kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,835
- 3,421
Habari wakuu naomba mwenye ujuzi anisaidie tafsiri ya hi ndoto
Ndoto ilivokua
Ilikua Ni majira ya saa 11 jioni.
Nilitoka ndani na kuanza kuangalia juu angani.
Niliona mawingu makubwa yalikuwa yakitembea kutoka magharibi kuelekea kusini ghafla yale mawingu yalibadilika na kuwa Simba wengi wakubwa sana, waliokua wakiunguruma kwa sauti na kutembea Kutoka magharibi kuelekea kusini.
Wakati hayo yakiendelea ghafla nuru kubwa sana iliokua na mwanga mkali ilichomoza magharibi kitu kilichonishtua sana na kunifanya nikurupuke Kutoka usingizini.
Nimeshindwa kuelewa hii ndoto ina maana gani.
Wajuzi mnisaidie.
Ndoto ilivokua
Ilikua Ni majira ya saa 11 jioni.
Nilitoka ndani na kuanza kuangalia juu angani.
Niliona mawingu makubwa yalikuwa yakitembea kutoka magharibi kuelekea kusini ghafla yale mawingu yalibadilika na kuwa Simba wengi wakubwa sana, waliokua wakiunguruma kwa sauti na kutembea Kutoka magharibi kuelekea kusini.
Wakati hayo yakiendelea ghafla nuru kubwa sana iliokua na mwanga mkali ilichomoza magharibi kitu kilichonishtua sana na kunifanya nikurupuke Kutoka usingizini.
Nimeshindwa kuelewa hii ndoto ina maana gani.
Wajuzi mnisaidie.